Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Own goaaaaaaaaal!

Mesut Ozil anafunga dakika ya 43

Anapiga mpira wa adhabu na Kevin Wimmer beki wa kushoto wa Spurs anafunga kwa kichwa!

Arsenal 1 Spurs 0
 
Arsenal lazima ashinde hii game ili aonyeshe nia ya kubeba ubingwa
 
Wanyama anamvaa Coquelin na Vertonghen anapimana ubavu na Theo Walcott.



Lakini Mwamuzi Clattenburg yupo makini kudhibiti hali hiyo.
 
Spurs walianza vizuri lakini hawawezi kuhimili mashambulizi ya Arsenal na kama nilivyosema Arsenal watawakaanga Spurs pale katikati.
 

Wimmer scores Arsenal’s first with an own goal
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…