Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Ni kweli lakini hapa tulikuwa na opportunity nzuri ya kuweza kuongeza gap na hizi timu mbili ambazo nazo zimetoa sare.

 
Baada ya matokeo yetu leo, nachotaka ni draw kati ya Chelsea na Man Utd kesho. On the second thought hata mmoja wao akifungwa inaweza isiwe mbaya sana kwetu. Ligi bado mbichi. Naona Loserpoop wako mbioni kushika usukani wa ligi hadi kesho.
 
Kwa wale wenzangu na wewe wanaodhani kila timu ndogo ni mteremko nadhani leo mmejifunza japo kusoma a,e,i,o,u za soka hahahaha.
 
Baada ya matokeo yetu leo, nachotaka ni draw kati ya Chelsea na Man Utd kesho. On the second thought hata mmoja wao akifungwa inaweza isiwe mbaya sana kwetu. Ligi bado mbichi. Naona Loserpoop wako mbioni kushika usukani wa ligi hadi kesho.
dua lako halitupati kesho tunashinda
 
rubaman kwema huko?Naona leo chupu chupu kwenu
Wewe na BAK na Eli79 bado HAMYAOGOPI MAJOGOO YA ANFIELD>?
unataka waogope mara ngapi na tushawadonoa... si walitaka kututushia risasi zao kumbe za Maji tena maji ya Nuwa yalikatika. wale Boro waliwawekea Bus la Manure yule jamaa na Morinho si marafiki.
 
Pazi, jamaa waliazima bus la zamani la Mourinho . Malafyale leo kidogo ugali uliwe kwa picha ya samaki. Anyway bora hatujafungwa, tukija bwawani tutayazamisha majogoo
 
Guardiola unauona moto wa EPL ulivyo? Mechi ya 5 bila ushindi, Mechi ya 3 bila ushindi ndani ya EPL hahahaha.
 
Hawa Southampton wametufanyia favour kubwa leo. Imagine kama tungeshinda jana katika mchezo ambao tulistahili kushinda. Tungekuwa kileleni kwa 2 points.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…