Haya tumepata upenyo wa kujikusanyia 3 points. Hawa Hull hutumia ubavu sana wanapocheza nasi, sasa wameshabaki 10 hivyo kipindi cha pili ni lazima tucheze attacking football ili kuhakikisha tunakusanya points zote.
Haya tumepata upenyo wa kujikusanyia 3 points. Hawa Hull hutumia ubavu sana wanapocheza nasi, sasa wameshabaki 10 hivyo kipindi cha pili ni lazima tucheze attacking football ili kuhakikisha tunakusanya points zote.