Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mpenzi huyu wa Gunners tayari ana imani kwamba Arsenal watamsajili Riyad Mahrez, sembuse wewe Leloo June!
Bro wenger awezi peleka 40 Leicester city never, izo atapeleka pale Madrid, Barcelona au Bayern ila sio Leicester city usipoteze mda wako na hiyo taarifa.
 
Bro wenger awezi peleka 40 Leicester city never, izo atapeleka pale Madrid, Barcelona au Bayern ila sio Leicester city usipoteze mda wako na hiyo taarifa.

Haya bana tuongojee maana dirisha la usajili lipo wazi hadi tarehe 31 August.
 
Mzee kasema kama mchezaji ata kuwa na viwango vya huitaji wetu lazima atamvuta arsenal
 
Bora laccatteze kuliko mahrez

Lacazette ni mmaliziaji mzuri tu lakini Mahrez nae ni mtafutaji na pia mfungaji magoli yaani attacking midfielder.

Lyon huku wakifahamu desperation ya Arsene Wenger, hatari yake ni kwamba wanaweza kupandisha dau kwa kuona jinsi Napoli walivyozuia Euro 73 kwa Higuain.

Tatizo la Wenger siku zote ni kukaa na kusubiri, sifahamu huwa anasubiri nini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…