Bro wenger awezi peleka 40 Leicester city never, izo atapeleka pale Madrid, Barcelona au Bayern ila sio Leicester city usipoteze mda wako na hiyo taarifa.
Bro wenger awezi peleka 40 Leicester city never, izo atapeleka pale Madrid, Barcelona au Bayern ila sio Leicester city usipoteze mda wako na hiyo taarifa.
Lacazette ni mmaliziaji mzuri tu lakini Mahrez nae ni mtafutaji na pia mfungaji magoli yaani attacking midfielder.
Lyon huku wakifahamu desperation ya Arsene Wenger, hatari yake ni kwamba wanaweza kupandisha dau kwa kuona jinsi Napoli walivyozuia Euro 73 kwa Higuain.
Tatizo la Wenger siku zote ni kukaa na kusubiri, sifahamu huwa anasubiri nini.