What are we smoking. Ile ilikiwa dharau. Kwa kiwango cha Suarez ilitakiwa tuweke 45 au 50 kisha tuwaombe Liverpool kuongea nao. We unaweka 40 plus Senti moja kisha unataka deal itokee kwa sababu ume activate release clause. Ule ulikuwa ushuzi tunavuta na sio vinginevyo.
Arsenal wamemsajili mshambuliaji Takuma Asano kutoka timu ya Sanfrecce Hiroshima ya Japan.
Ada halisi ya uhamisho haijasemwa kama ilivyo kawaida ya Arsenal ambao huwa hawataji kiwango cha usajili.
Uhamisho wa Takuma unategemea Zaidi masuala ya vipimo vya afya na kibalicha uhamiaji kutpka wizara ya mambo ya ndani ya Uingereza.
Takuma ana miaka 21 na mshambuliaji a timu ya taifa ya Japan ambayo alianza kuichezea tangu mwezi August mwaka jana.
Akimzunguzia mchezaji huyo meneja Arsene Wenger amesema Takuma amesaliwa kusadia washambuliaji waliopo na atajiunga moja kwa moja na mazoezi ya timu ya kwanza ambayo yanatarajiwa kuanza katikati ya mwezi huu wa Julai.
Takuma anakuwa ni mchezaji wa tatu kutoka Japan kusajiliwa na Arsenal baada ya Junichi Inamoto na Ryo Miyaichi ambao hawakukaa sana na klabu hiyo.
Mkuu ikhatibu huyo mjapani ni for future hajasema kasajiriwa kumsaidia giroud.tuna kikosi cha vijana ktk age mbalilmbali nao wanahitaji kuongezewa nguvu.kumbuka Henry ndio anawanoa timu ya watoto
Daaaah hii aibu sana.
Nilianza kumrindimia Babu AW mwaka 2008 lakini sasa wacha nibwage manyanga.
Wacha aendelew kuwafurahisha matajiri na aendelww kutusahau Matajiri wa Kubwa Team na mwisho wao watakuja kuuona.
Tutagomea kuingia Kiwanjani, jezi zitabaki madukani na mwishowe watanyoosha miekono na wamfungashe virago Babu.