Jumapili pia tunataka uje na hadithi nyingine🙁😀😀Mimi nilicheka sana , nilipoona substitution ya Flamini. Nilimwambia jamaa mmoja mpenzi wa Arsenal, Tegemea kadi ya njano kwa Flamini au bao la pili. Haikupita dakika 2 naona mwamuzi ananyoosha mkono na kusema tuta.
Yule jamaa wa Arsenal aliniuliza kwa nini ulisema juu ya flamini?
Nilimwambia huyu Flamini ni kawaida kupata Kadi za njano kwa tackles anazofanya.
Reality check imetimia.
Arsenal walishindwa kutumia nafasi walizozipata, sasa ni majuto na maumivu tu.
Jumapili kilio kiko kwa LVG kama Wenger atatumia mbinu aliyotumia kwa Barca hakuna hadithi ingine hapo.Jumapili pia tunataka uje na hadithi nyingine🙁😀😀
Ebu tuombe tu miujiza itokee muwatoe PSG halafu mkutane na Barca tuone hicho unachosema kina ukweli gani...Bahati mbaya hujui kwamba baca uingereza nzima wanaiogopa chelsea peke yake hata kama chelsea wawe wabovu kiasi gani baka lazma apigwe tu
Super Sub
Wewe mwenyewe unatuombea njaa tuzidi kuporomoka.....Kazana kuomba njaa
Ebu tuombe tu miujiza itokee muwatoe PSG halafu mkutane na Barca tuone hicho unachosema kina ukweli gani...
nasikia mtangazaji akisema 'Meeesiiiiiiiiiiiiiii.....'😀😀 Nimeipenda iyo
Hapo ndio u
nasikia mtangazaji akisema 'Meeesiiiiiiiiiiiiiii.....'
Bado Nou Camp lazima awape hat-trick!😀 Messi kiboko yao hawatamsahau
Wakutane na bayer tu inatoshaEbu tuombe tu miujiza itokee muwatoe PSG halafu mkutane na Barca tuone hicho unachosema kina ukweli gani...
Not anymore....tuna focus aliye mbele yetu i mean lester na spursWewe mwenyewe unatuombea njaa tuzidi kuporomoka.....
Not anymore....tuna focus aliye mbele yetu i mean lester na spurs
nadhani Liverpool watakuwa wanawaombea mbaya zaidi ili mfanane nao
Naona wewe herrera, Belo, Mentor and company kila tunapofungwa mnadhani nimekimbia jukwaa. Sionekani sana humu sababu ya kuwa busy na life katika kipindi hiki cha mwanzoni mwa mwaka. Naona maumivu anayowapa LVG mnayamalizia kutusaka vijana wa Wenger. Subirini nitarudi muda si mrefu.
khe khe khe khe khe khe khe khe utarudi mkiwa vizuri....
khe khe khe khe khe khe khe khe utarudi mkiwa vizuri....