Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

kila mkipangwa nao mnasema hivyo hivyo

Wakati Arsenal tukichuana na creme de la creme, wenzetu wa kule Lancashire county wanatu-admire tu.
Washabiki nanyi muache kukariri, sio kila mara Arsenal itafungwa na Barca. Sioni Barca wakifurukuta!
 
Wakati Arsenal tukichuana na creme de la creme, wenzetu wa kule Lancashire county wanatu-admire tu.
Washabiki nanyi muache kukariri, sio kila mara Arsenal itafungwa na Barca. Sioni Barca wakifurukuta!

Sawa at least mmefika last 16....last hudle.
 
Wakati Arsenal tukichuana na creme de la creme, wenzetu wa kule Lancashire county wanatu-admire tu.
Washabiki nanyi muache kukariri, sio kila mara Arsenal itafungwa na Barca. Sioni Barca wakifurukuta!

acha mbwe mbwe wewe, jiandae kisaikolojia kupakatwa. na sali sana magoli yasije yakazidi yale ya bayarn ..............
 
acha mbwe mbwe wewe, jiandae kisaikolojia kupakatwa. na sali sana magoli yasije yakazidi yale ya bayarn ..............

Buyern ni bora mara tatu ya barca mwaka huu! Naiogopa Zenit St. petersburg kuliko Barcelona, alafu, sisi ni underdogs, nothing to lose!
Barca ya mwaka huu ni ya mtu mmoja, Iniesta! Watakaa tu, wajiandae wao kisaikolojia, mi nimejiandaa kisaikolojia kuwabamiza
 
Fainali msimu huu imewahi. .tunacheza fainali na Barcelona halafu ndo tunafata robo na kumalizia semi final. ..cog
 
Dah hivi kila mwaka lazima tucheze na Bercalona eeh, hawa wachambua vikaratasi siwapendi basi tu
 
Dah hivi kila mwaka lazima tucheze na Bercalona eeh, hawa wachambua vikaratasi siwapendi basi tu

Hahahahahaha mkuu Sizinga umeniacha hoi sana.
But ndio hivyo arsenal ikimkwepa beyern munech basi ni barcelona imeandikwa hivyo.
 
Last edited by a moderator:
Barca hao uploadfromtaptalk1450102615371.jpg
 
Soka dakika 90 kikubwa ni kujipanga zaidi kwenye mbinu za kimchezo,mbinu zetu zikishinda zao tunapita ni hivyo tu!
 
Buyern ni bora mara tatu ya barca mwaka huu! Naiogopa Zenit St. petersburg kuliko Barcelona, alafu, sisi ni underdogs, nothing to lose!
Barca ya mwaka huu ni ya mtu mmoja, Iniesta! Watakaa tu, wajiandae wao kisaikolojia, mi nimejiandaa kisaikolojia kuwabamiza
we jipe moyo tu!" angalia kilichomtokea mwenzio baada ya kusikia kapangwa na baca.
attachment.php
 
huwa siku zote natamani kuwa tested na the best as utajua kama unadeserve au wakati wako bado...this is another test vs the best; if we pass we are there for glory at the final but if we fail then we are not ready
 
B
A
R
C
E
L
O
N
A
Nakusalimu Wacha 1
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom