So far tyupo point 3 nyuma ya 'wapenda vimwana' Chelsea na point 2 nyuma ya Man Utd...Ukweli ni kwamba vijana wakikomaa ubingwa unaweza kuwa ni halali yetu mwaka huu,hasa ukizingatia tayari tushamalizana na wakali Man Utd,Chelsea na Liverpool...YES WE CAN!!!!