Wakuu vijana wanafanya mazoezi ya mwisho hadi jioni kabla ya kuchukua pipa na kwenda kucheza na Norwich kesho, Kero kubwa imeonyeshwa na wanamazingara kupinga kitendo cha Gunners kuchukua ndege.
wenger asipoondoka tutaendelea kushika nafas ya 4 milele, no world classic striker,no DM unategemea ubingwa gunners tutasubir sana mpaka huyu mze aondoke,ni maoni yangu binafsi ukubali ukatae ukweli ndio huo
wenger asipoondoka tutaendelea kushika nafas ya 4 milele, no world classic striker,no DM unategemea ubingwa gunners tutasubir sana mpaka huyu mze aondoke,ni maoni yangu binafsi ukubali ukatae ukweli ndio huo