Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Kwikwiiii sio maombi yote yana baraka mbele zake ati!

Ukicheza jmos halafu ukashinda unakuwa na amani kama nini,ona leo tunavyojiachia majumbani mwa watu kama kwetu vile....lol
 
Leo wakuu kidogo tutolewe nishai na vijana wadogo, duh

Ila chama kubwa...Tumecheza hovyo sana, bado tuna maumivu ya Munich?!

Anyway sio mbaya sana, ila pt 2 leo zingekuwa bomba sana..
 


Arsenal substitute Kieran Gibbs celebrates after earning his side a late point against fierce rivals Tottenham



Gibbs (left) scored their equaliser on 77 minutes with
a left-footed strike at the far post
- just minutes after coming on as a substitute





Nasikia kuna wakora walikuwa wanashangilia leo ili tufungwe.
 


Arsenal midfielder Coquelin (right) tackles Erik Lamela during the opening exchanges of Sunday's encounter



Alexis alikuwepo ingawaje uchovu wa Munchen bado upo .... .



Todays referee was poor in my opinion ...



Ozil kama kawa amevunja record leo ya assist kwenye EPL
 
Ngoja twende kwenye International break, baada ya hapo Berralin Ox na Theo wanaweza kuwa wamerejea tuendeleze libeneke .... .... ..COYG .... .... Ding ....Dong
 
Afadhali hatujafungwa. Tutarudi vizuri baada ya international gsmes na kuchukuwa usukani
 













Vijana waliowakwangua Totts ambao hawakuja kucheza soccer
tutakumbana nao tu watusubiri pale kwao February ...
au la kwenye FA cup kama tutakwaana nao tena .... COYG
Ding .... Dong
 


15th award and counting .....

Arsenal beat Manre, Watford, Everton and Swansea City last month to climb up to second in the table behind leaders Manchester City on goal difference.
 


15th award and counting .....

Arsenal beat Manre, Watford, Everton and Swansea City last month to climb up to second in the table behind leaders Manchester City on goal difference.


And lost 1-5 as well.............khe khe khe khe khe khe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…