Inasemekana Theo kapata calf problem hii imechangiwa na kutokupata muda wa kufanya warm up kwani kwa pace yake warm up ni muhimu, ila najiuliza anaweza kukaa nje kwa muda gani??
Matokeo leo sio mazuri ila matumaini stock city wanafanya kweli leo
Inasemekana Theo kapata calf problem hii imechangiwa na kutokupata muda wa kufanya warm up kwani kwa pace yake warm up ni muhimu, ila najiuliza anaweza kukaa nje kwa muda gani??
Matokeo leo sio mazuri ila natumaini stock city wanafanya kweli leo wamlize tena mou
Sasa wachezaji wetu karibia wote walio majeruhi ni Wabritish Ramsey,Walcott, Ox, Welbeck, Wilshere bado Gibbs kuwafuata plus Rosicky, Ospina, Arteta. Kuna kitu kimepungua ndani ya hawa wabritish hasa wa Arsenal si bure.
83min Wachezaji waliocheza leo walifikiri waki show up tu watashinda walitakiwa kucheza mpira. Huyu Bielik nafikiri kidogo amejitahidi alipoingia OG hakupata hata mpira moja pale mbele. Anyway ngoja tupunguze mechi za kucheza na hiki kikombe cha mbuzi. prof ndio huwa anawajaribu wachezaji kwenye hiki kikombe ambacho hajashinda. Good for the Gunners ... ... .