Ed n Edd nEddy
JF-Expert Member
- May 3, 2011
- 5,345
- 6,078
Nimebet nimempa Arsenal 1&3+
So nna uhakika wa ushindi wa 3-1, 2-1 au 3 nil
Gunnerz 4ever
leo Arse888 wasipopigwa nane kama walivyozoea sijui ............. Arse888 wakishinda leo, naahidi kwenda kufanya vurugu sentro.
Assernal leo mnajihakikishia kutoka kwa maana mnapigwa leo na mkijitihidi sana ni sare. Pia mkumbuke baada ya gemu mnakutana na jamaa anawachinja palepale ili ajihakikishie kupita group stage wakati huo Asernal ndio ana point 1 au 0 kabisa. Huku wale wengine wakiendelea kusonga mbele. Mwaka huu Asernal kazi mnayo
It was a strategic game for arsenal brah. Tungefunguka ingekula kwetu, we had to contain them and wait for counter attacks and it worked marvellous for us..Pep Guardiola please endelea na maisha yako ya Bayern Munich, hatukuhitaji Epl...
If Arsenal are experiencing a possession of 29, what would be of the man u and Chelsea... Usije City 😀😀😀
leo Arse888 wasipopigwa nane kama walivyozoea sijui ............. Arse888 wakishinda leo, naahidi kwenda kufanya vurugu sentro.