Arsenal (The Gunners) | Special Thread



Flamini baada ya kuweka chuma wavuni .... .



Campbell .. .... .













Alexis alikuwepo .... ..



Cool as you like .. . .Le Prof ... Ding ... Dong.
 


ALexis ..... .

Next away to Leicester EPL ... ..... ..... .. J1
 
Kibabu ndoa imemshinda


Wivu wa kike, wewe ndoa yako ikoje? Wao watu wazima wako separated inakuuma nini? Wamekaa miaka 5 baada ya ndoa wameamua kufanya separation, watu wazima na akili zao. Na mpunga wanao wa kutosha.

Haya twambie ndoa yako wewe mfarisayo unayegenga njaa hapa JF! Khe khe khe khe ke khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 


The Ox


I know mfarisayo hii pic imemuuma kwenye mtima .. ... .Ding ... Dong . khe khe khe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 
Last edited by a moderator:

Yaani huwa nakuona kama wewe ndo Wenger mwenyewe sijui kwanini yaani hivyo tu Wacha= Wenger.
 
".......Arsenal as a club who follow players but always fail to sign them......"

"But in football there are those who follow players and those that buy them......"

😂😂😂😂
 
...... and there are those who follow what the Prof says at every opportunity to justify their existence. Without him they are nothing and with him they justify their means. ..... ..... ..

Hatuweweseki na vimburukenge ... .... .. ...Ding ... ... Dong. COYG
 


French rugby player Gael Fickou takes a penalty in front of Arsenal manager Arsene Wenger and their former player Robert Pires




The French got to see, first hand, how a top class team from another sport prepares for matches compared to their own methods






They might be used to a ball that is different in shape, but that didn't stop the French lads from having a kick-around of their own











The day out was clearly enjoyed by the French players, who do not face another Rugby World Cup game until Thursday next week
 


Now the bread and butter issues .... ...
Rambo lazima acheze mpira kesho whatever the case, ushindi ni lazima. COYG
 


Prof kama kawa ... ..



OG & Mathieu









Vijana wakijiandaa na mtanange wa kesho .. away game Ding ...Dong COYG
 

Link Jose Mourinho: Only one manager is not under pressure - ESPN FC

Link 2. BBC Sport - Jose Mourinho: Chelsea boss appears to criticise Arsene Wenger

Link 3. José Mourinho: Arsène Wenger ‘can cry, moan, not achieve and still be king’ | Football | The Guardian



Wadau wa jukwaa hili Mourinho amekinukisha, mna maoni yoyote?
 
Gabriel: Arsenal defender given one-match ban and £10,000 fine

Arsenal defender Gabriel has been banned for one match and fined £10,000 after admitting a Football Association charge of improper conduct.

Gabriel, 24, was sent off by referee Mike Dean for violent conduct after a clash with Chelsea's Diego Costa during the 2-0 defeat at Stamford Bridge.

Arsenal appealed successfully against a three-match ban for the red card.

The charge related to the Brazilian failing to leave the pitch immediately after being sent off.

Link BBC Sport - Gabriel: Arsenal defender given one-match ban and £10,000 fine
 

..kamwambie mpk atakapojua kusolve mambo yake ya ndani, ndio tutaanza kuwa serious na upuuzi anaorudia rudia kila siku kwenye vyombo vya habari.
Muulize kwa nn akiulizwa kuhusu kuondoka kwa Dr.Carneiro ananuna.?! becoz anajijua yeye ni mpuuzi, and we here, knows it too.
Instead anaendelea kulialia Wenger is not under pressure, so what..? mwambie amfukuze basi km anaweza.!
Sadly enough; waandishi wameshamuona maureen km toy, wanajua lzm aropoke, na kweli anaendelea kuropoka tu...and that'z gud for them, coz they use that idiot to sell their newspapers.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…