Thanks Graham, you've explained it very well....Same old Hypocrite Arsene Whinger lazima alalame ikiwa against kwake lakini anasema hajaona ikiwa imempa favour.
mkuu hii issue ilikuwa ndani ya box ilikuwa swala la common sense kwa refa lakini kama kawaida tunaheshimu matokeo n we r moving on.rematch tutashinda kwa kishindo kikubwa tu wala sina wasi wasi.
wakujilaumu ni sisi wenyewe huyo refa namtakia kila la kheri world cup manake nimeona jina lake kule lol.
hivi hapo refa kanyoosha mkono juu kwa ajili ya nini? manake mpira ulikuwa tayari uko kwenye play au aliona goli kabla? mwenye kujua zaidi anaimbie huo mkono wa refa uko juu kwa ajili ya nini hapo? kama foul kupigwa ishapigwa ndio iko kwa mfungaji ,sasa yeye mkono juu wa nini?
mkuu hii issue ilikuwa ndani ya box ilikuwa swala la common sense kwa refa lakini kama kawaida tunaheshimu matokeo n we r moving on.rematch tutashinda kwa kishindo kikubwa tu wala sina wasi wasi.
wakujilaumu ni sisi wenyewe huyo refa namtakia kila la kheri world cup manake nimeona jina lake kule lol.
Lol!, are you still discussing about that goal?, poor you. Just be focused on the 2nd Leg at Emirata. Ila based on facts, siwaoni wakiwatoa nyie pale kwenu, Porto walishinda kibahati sana game ya jana.
May be utokea muujiza ( i mean Fbsnk akiendela kukaa golini)Lol!