Haya sasa mtanange ndio umetayarishwa na Arsenal imepangwa kwenye kundi F. Timu zingine kwenye kudi hilo ni pamoja na Olympiakos, Dinamo Zagreb na mahasimu wao Bayern Munich.
I am always confident that a last-minute situation or solution is available, because the transfer market is especially moving in the last four or five days.
Asked if he was confident of making any more new signings, he said: "At the moment, I cannot say I am very confident because we are not close to signing anybody.
"I don't know because I am always confident that a last-minute situation or solution is available, because the transfer market is especially moving in the last four or five days.
"At the moment, I cannot promise you that. We work very hard... you know I have a team around me who work day and night to find good solutions.
Hapa ndio namuonaga mzee m******e
Itabidi Arsenal tuwanunue Bayern Munich sababu tunapangiwa na hawa wadudu karibia kila msimu. Utadhani UEFA wana kisirani fulani na sisi. Anyway, msimu huu itabidi tuwafanyie kubwa tuwapige ubaya kwao na kwetu, tumfukuzishe kazi Guardiola.
..unajua tulipoanzia au unadandia tu,vyema ukasoma kwnz hizo post za juu uelewe sio unakurupuka tu.Mi hapa naizungumzia arsenal nayoishabikia huyo mwenzio ameifata arsenal huku asiyoishabikia,ndio tofauti ndogo iliyopo.
Pheeeww!
Karibu jukwaa la michezo. Hapa jukwaani hakuna mipaka, ni ruhusu kuingia ndani hadi chumbani kwa jirani, ilimradi usivunje sheria za mwenye nyumba tu.
..hope umenielewa anyway..
Happy anniversary man u 8-2 arseno
EUFA nafasi ya 2 then tunapangwa na Barca out..........
Iv arsenal ashawahi beba hii ndo ya wanaume?
Iv arsenal ashawahi beba hii ndo ya wanaume?
Unasahau Bayern lazima tuipige kwao, halafu kwetu watuchape, hio ni ka draw, then tuchape hizo team zengine tuwe mbele na mabao. Tupewe PORTO!
Bayern afungi 1 au 2 anapiga 6 au 5 sasa frwd yenu haipendi hayo mambo