i think wewe ni shabiki wa man U;afterall sijaizungumzia timu yako coz haina hata identity,hamfungi magoli,mpira uwanjani haueleweki,mpo mpo tu pamoja na usajili wa mapesa mengi mliofanya last season hamna timu yoyote mliyojenga,nawahofia kwenye champions league nawaona kbs mkitoka kwny makundi muende europa.
Yes; mi ni shabiki wa arsenal ila pamoja na hayo siwezi jitoa akili niseme arsenal watakua mabingwa come may this season,big No.
..ili arsenal bingwa kwa uhakika inatakiwa man city na chelsea wapoteze pointi nyingi sana.Kuchukua ubingwa kwa tofauti ya pointi 3-9 kwa arsenal hii nna wasiwasi nao sn,ubaya wetu hua tunapigwa tu halafu popote mpk unashangaa hawa watu leo wamekunywa nn (refer westham emirates),hapo bado kuna draw ambazo sijui zitakua ngp.Inshort arsenal kua bingwa hao wawili lzm wapoteze pointi nyingi sn..
Kupigwa home au away EPL kwa siku hizi ni kitu cha kawaida, mbona chelsea kwa Swansea alipimulia machine?..ili arsenal bingwa kwa uhakika inatakiwa man city na chelsea wapoteze pointi nyingi sana.Kuchukua ubingwa kwa tofauti ya pointi 3-9 kwa arsenal hii nna wasiwasi nao sn,ubaya wetu hua tunapigwa tu halafu popote mpk unashangaa hawa watu leo wamekunywa nn (refer westham emirates),hapo bado kuna draw ambazo sijui zitakua ngp.Inshort arsenal kua bingwa hao wawili lzm wapoteze pointi nyingi sn..
Me humu naanza kuhesabu majeruhi tu maana kuna mtu nilimwambia ao players wake wengi ni wagonjwa asidanganyike na pre season matches. Nadhani muda kidogo arsenal itarudi kule kule
..ili arsenal bingwa kwa uhakika inatakiwa man city na chelsea wapoteze pointi nyingi sana.Kuchukua ubingwa kwa tofauti ya pointi 3-9 kwa arsenal hii nna wasiwasi nao sn,ubaya wetu hua tunapigwa tu halafu popote mpk unashangaa hawa watu leo wamekunywa nn (refer westham emirates),hapo bado kuna draw ambazo sijui zitakua ngp.Inshort arsenal kua bingwa hao wawili lzm wapoteze pointi nyingi sn..
Huwez kuona uzaifu wa defence ikiwa forward inakeep the ball kwa kujalibu kufanya attempts hai,sisi tunaonekana wachovu kati sababu foward hatuna hivyo kwa timu yenye kufanya counter attack au striking force kubwa inalazimu 6 arudi chini kusaidia sasa apo ndipo huwiano unapotea lakini ishu ni centre forward kwanza kama unakumbuka tatizo la holding midfielder wakati flani tulipata hauen baada ya huyu dogo Francis couqline kurudi pale....ishu ni centre forward time haina impact mbele viungo wako wengi sio ishu sana sababu mfumo wa kukaa na mpila ni defence tosha yote unayaona vizuri sababu hatuna centre forward... Kusu kusajili sizani kama atasajili......NB; refer fc barca hawapati impact kubwa nyuma sababu forward mbele impact yake ni kubwa ndicho tunachoitaji ofcoz Francis ni mzuri sema hatuna mtu wa mwisho mbele.
Sisi tuwaofie waatoto wa pelegreen na swansee baaasi wengine hawana impact kubwa
Kupigwa home au away EPL kwa siku hizi ni kitu cha kawaida, mbona chelsea kwa Swansea alipimulia machine?
Sisi tuwaofie waatoto wa pelegreen na swansee baaasi wengine hawana impact kubwa
Msimu huu tunabeba ndoo ya EPL., mtu ani-quote tatehe 30 May, mwakani!
holding midfielder,centre forward na centre back..hao watu lzm waje arsenal km kweli tunataka ubingwa kwa kushindana tuongoze ligi na sio kusubiri wengine wateleze.
Umeizungumzia barca pamoja na kwamba unasema wana posess sn mpira ndio inawasaidia kujilinda but tazama last season MNS wamefunga goli zaidi ya 100,kwani siku ile tukipigwa na westham emirates hatukuwa tumewazidi possession? issue ni kwamba timu lzm iwe bora no matter mna possess au vp.Km wenger angesajili kiungo mkabaji mapema na striker leo tungekua tunazungumza mengine kbs,tatizo yule mzee ni mbishi..keep on doing same thing expecting different results
#lunatic!
holding midfielder,centre forward na centre back..hao watu lzm waje arsenal km kweli tunataka ubingwa kwa kushindana tuongoze ligi na sio kusubiri wengine wateleze.
Umeizungumzia barca pamoja na kwamba unasema wana posess sn mpira ndio inawasaidia kujilinda but tazama last season MNS wamefunga goli zaidi ya 100,kwani siku ile tukipigwa na westham emirates hatukuwa tumewazidi possession? issue ni kwamba timu lzm iwe bora no matter mna possess au vp.Km wenger angesajili kiungo mkabaji mapema na striker leo tungekua tunazungumza mengine kbs,tatizo yule mzee ni mbishi..keep on doing same thing expecting different results
#lunatic!
Angalia game ya mwisho second half ilikuaje n tatizo lililo onekana wazi ni centre forward ikafikia wakati kina cazora na Ramsey wakawa wanajaribu kupiga nje ya box kumbuka
tusijiliwaze na perfomance ya second half dhid ya liverpool. mzee wenger ana mengi ya kufanya kuhakikisha arsenal inacompete for major trophies. i suggest aanze kuifuma timu kuanzia nyuma, siku hiz watu tunaangalia gemu za arsenal kama adhabu shehe! roho juu juu muda wowote kibanda kinaungua! pathetic Wenger! Aaaarghhhh
Kaka unahasira ila mzee ulivyo p anaweza asisajili kabisaa yaan
profesa wenger anazeeka vibaya mkuu. nadhan he has got something in common with professor Lipumba.Kaka unahasira ila mzee ulivyo p anaweza asisajili kabisaa yaan
profesa wenger anazeeka vibaya mkuu. nadhan he has got something in common with professor Lipumba.