Timu bado sana Wenger inabidi akamilishe usajili wa DM na msambuliaji very soon.
Goli la kwanza ni kosa la Cech na Kouyate akajifungia goli kiulaini akidhani Kouyate ametoa nje.
Goli la pili ni kosa la Coquelin na akamwachia Zaarate apige shuti umbali wa mita 30!
~
Coquelin akimwangalia Zarate anapiga shuti.
Mzee Wenger aache kututania kwani pesa tunayolipia tiketi ni nyingi sana.
~
Hakuna muda wa kuwaza unafahamu ni wachezaji gani tunahitaji ingia sokoni fanya manunuzi.