Gemu kama ya leo uwa zinanipa presha sana hawa walioko kwenye relegation wanakamia hasa sintoshangaa sisi wa nafasi ya 3 tukapata upinzani toka kwa timu ya 18 hasa wakiwa home ingawa QPR msimu huu home hawana rekodi nzuri,mabeki wawe makini na C Austin jamaa ni clinical finisher.
COYG