Arsenal wamemiliki mpira na kutawala mchezo kwa kiasi kikubwa.
Olivier Giroud ameunganisha vizuri sehemu ya kiungo na ulinzi akiwa anashuka kidogo na kupanda hivyo kuwachanganya Brighton na kuwafanya Walcott na Ozil wafunge kirahisi magoli yao.
Brighton wanapata nafasi ya kupiga mpira wa adhabu ndani ya mita 15
Na Gibbs anaokoa kwa kichwa na Arsenal wanamiliki tena mpira Ramsey anagonga kwa Ozil nae anarudisha kwa Monreal anagonga kwa Flamini, yaani wanachezea tu mpira wakingoja Half-time.
Hahahahaha lol!!!! Eti majungu ππ sema kama nimesema uongo, katimu kamchangani kamewatoa kijasho chembamba hata mgeongezewa 90 nyingine bado msingeziona nyavu zao labda nyie ndio mngelambwa bao lol!!!