Nope.. Msimu uliopita baadhi ya timu tulizoziondoa miongoni mwao zilikuwa za Premier League Liverpool, Spurs na Hull City tukabeba Kombe. Msimu huu tumeanza na Hull City (Premier League) kwa mtiririko huu naweza kusema kuna uwezekano wa kukutana na timu nyingine ya premier League.