Karibu sana, tunakusubiri kwa hamu kubwa sana. Najua utatuletea bahati na hivyo kuendelea kufanya vizuri katika ngwe ya pili ya EPL katika msimu huu na pia katika misimu ijayo ya EPL.
Yeah! Kwa jinsi jamaa walivyokuwa wanashambulia zile sub zilikuwa muhimu sana ili kuongeza nguvu kwenye defence, hasa ukitilia maanani kwamba defence yetu iko weak.
Miaka mingapi shem matatizo hayarekebishwi shem. Hata kama ni mchumba wa hivyo si unamuacha.
Kila mwaka anakudanganya atabadilika atabadilika. Anakununulia tuzawadi tudogo tudogo marambili tatu anasahau kubadilika...ndo hivyo mwaka nje mwaka ndani. #thinkAgain