100 mins corner for Gunners ... .. thats it 2 - 2 at least media watakuwa happy refa hakuwa na good game leo, we did not play as well as we would have liked ... .
Haiwezekani kila siku visingizio vikawa kwa marefa tu majeruhi Man Utd msimu huu imekuwa na hali mbaya sana ya majeruhi kuliko Arsenal lakini kocha amekuwa akibadili mfumo na mbinu kulingana na Wachezaji alionao kwa wakati huo na kulingana na timu anayokabiliana nayo lakini Wenger hana huo uwezo mfumo wake ni huohuo mmoja kila siku awe na majerehi au asiwe nayo.
Mechi ya leo ilivyoanza Arsenal walikuwa wafungwe washukuru tu kocha wa liva hakustuka kufanya marekebisho pale mbele
Jamani sitaweza tena kuwashabikia maana mmetoka draw
Jamani sitaweza tena kuwashabikia maana mmetoka draw