Arsenal (The Gunners) | Special Thread


Mkuu ndio reality ya michezo unaposhindana ni lazima timu moja ishindi. Unaweza kuangalia magoli kama kipimo lakini wachezaji wengi hawako katika kiwango kinachotakiwa angalia nyuma tangu Debuchy aumie na Kos hakuna wachezaji wa kuchukua hizo nafasi then wamekuwa wakicheza kila baada ya 3 days at most kwa wiki zilizopita its taking its toll. wenger bado ni good manager, timu nyingi wangependa wawe hapa tulipo, hii media ya UK machinery ambayo imejaa fitna na wivu haiwezi kumwondoa Wenger. Hebu nambie manager gani anafaa kuchukua nafasi ya Wenger. Then nipe wasifu wake. Last week Prof alitoa challenge kwa wanaomponda wafanye naye kazi kwa wiki moja hakuna aliyejitokeza.

Wachezaji pia wapo wengi ambao hawajitumi kama Alexis na Ox, usiwe na wasi wasi na timu tutafika tu.
 
Polen sana wakuu mmejitahidi kupigana lakini ndo vile wakati ukuta, S.C hongereni sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…