Wemepata Ka ushindi leo bhasi wamefufuka kweli, Nadhan bado hawajajua kuwa timu yao ni kama mlevi anayepiga hatua 2 mbele, 10 nyuma na bado wanajipongeza.
Arsenal forward Alex Oxlade-Chamberlain (left)
scores the equaliser against Tottenham
Arsenal's Alex Oxlade-Chamberlain celebrates scoring the equaliser
against Tottenham at the Emirates
Counting the cost .... .. .. .. .
Totts hawakuja kucheza mpira bali kufanya fujo ... .
Tutajiandaa kwenye mechi ya marudio pale White Hart Lane.
walimshitukiza Flamini pale hata hivyo ilitakiwa kuwafunga,
kosa la Golikipa lile, so many times anawapa mpira defenders .... ... ..
Wemepata Ka ushindi leo bhasi wamefufuka kweli, Nadhan bado hawajajua kuwa timu yao ni kama mlevi anayepiga hatua 2 mbele, 10 nyuma na bado wanajipongeza.