Arsenal (The Gunners) | Special Thread

mkuu amini kitu kilichotangazwa ktk Arsenal.com sio ktk Twitter, Daily mail,Daily Star ,goal.com,etc . kwa kifupi ukisikia hii trade imekuwa confirmed na Arsenal wenyewe ndo uamini ama sivyo ni speculation zisizo na kichwa wala miguu

ila hii nahisi inakaukweli ndani yake
 
mkuu amini kitu kilichotangazwa ktk Arsenal.com sio ktk Twitter, Daily mail,Daily Star ,goal.com,etc . kwa kifupi ukisikia hii trade imekuwa confirmed na Arsenal wenyewe ndo uamini ama sivyo ni speculation zisizo na kichwa wala miguu

Mkuu wewe ni Arsenal fan ama?

Hii habari haijatoka mahala popote kati ya hizo source ulizotaja.

Hata hivyo karibu Arsenal Suppoters Trust.

Au ingia kabisa kwenye tovuti arsenaltrust.org
 
Mkuu wewe ni Arsenal fan ama?

Hii habari haijatoka mahala popote kati ya hizo source ulizotaja.

Hata hivyo karibu Arsenal Suppoters Trust.

Au ingia kabisa kwenye tovuti arsenaltrust.org

Mkuu nadhani tumepishana lugha. nilichomaanisha ni kuwa baadhi ya sources mfano wa nilizozitaja huwa haziwi za kweli. Mfano msimu uliopita kuna source kibao zilikuwa zinasema Arsenal wameshasajili Higuan, Draxler unajua kilichotokea. Kama umesahau Arsenal ni moja ya timu ambazo usajili wake unakuwa siri sana (mfano usajili wa Ozil ulivyokuwa siri hadi walipotangaza) ndo maana nimesema hadi itangazwe katika website ya Arsenal ndo itakuwa uhakika, na uanze kushangilia. Juu ya hizo source sasa hivi kuna tetesi kibao online e.g Twitter, na web za magazeti kadhaa ya UK juu ya kukamilishwa kwa usajili wa Sanchez na Debuchy ndo maana nimesema nilivyosema.
 

Ni kweli unavyosema, lakini safari hii Arsenal wanamtaka Sanchez baada ya kukamilisha suala la Mathieu Debuchy.

Mpaka sasa Barcelona wamekubali 34 milioni ilowekwa mezani na Arsenal isipokuwa kuna timu zingine kama Juventus ambao nao wanamtaka mshambuliaji huyo.

Sanches atakuwa mchezaji pekee wa Arsenal ambae atalipwa paundi 130,000 kwa wiki, na hiyo ni statement of intent kutoka kwa Arsenal wa wahasimu wetu.

Ila Olivier Giroud lazima apate mshindani.

Arsene Wenger amekwishaweka vipaumbele kwa mshambuliaji, mlinzi wa kuziba nafasi ya Bacary Sagna na kiungo mlinzi.

Sasa utakuja kushangaa Arsenal hadi kufikia mwisho wa usajili wanatangaza wachezaji wafuatao , Alexis Sanches, Mathieu Debuchy na Lars Bender wa Bayern Leverkusen ya Ujerumani. Utakumbuka mwaka jana Arsenal walikataliwa dau lao la milioni 19. Tunataka Bender aje azibe nafasi ya Mikael Arteta.

Hapo tunaweza kutumia kama paundi milioni 60 na ushei.
 
Bomba mno...kaenda kutazama kandanda inayochezwa atakavyo..

kweli kabisa, kama anavyotaka yeye mwenyewe le profeseri.


ili kuongeza taarifa sahihi hapo, le profeseri alifanikiwa kunyanyua ndoo ya FA mwaka 2014 kwa kuifunga timu ngumu ya HULL CITY

 




 


Ramsey in training ....




Gibbs alikuwepo ..... .







Weren't you at the World Cup? Ramsey, Mathieu Flamini
and Kieran Gibbs exchange words



The boys are back in town: Arsenal's players went through
an unusual session looking to build fitness



Unfamiliar: Even injury-plagued Abou Diaby
took part in the pre season session




Chums: Wojciech Szczesny poses for a photo
with Carl Jenkinson - who also looks a bit like Beckham!




Hands up: Arsenal's depleted squad
are put through their paces at London Colney



Bulking up: Nacho Monreal hits the weights
on Day Two of pre season training



Unflustered: Mikel Arteta had the summer off
while his nation Spain struggled at the World Cup
 
Hiyo picha ipo kwenye website ya arsenal baada ya hapo ni debuchy,di maria na remmy
 


Fired up: Alexis Sanchez has joined Arsenal from Barcelona
in a move that will delight and excite Gunners fans










Looking forward: Sanchez is Arsene Wenger's first signing fo the summer


Sanchez said: "I'm so happy to be joining Arsenal, a club which has a great manager, a fantastic squad of players, huge support around the world and a great stadium in London. I'm looking forward to meeting my new team-mates and to be playing for Arsenal in the Premier League and Champions League. I will give my best to Arsenal and want to make all the supporters happy."

Kijana alitua Colney kufanyiwa uchunguzi maalum na mambo yamekwenda mswano ..... ...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…