Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal Wenger, a footie genius...1 trophy in 9 years. No longer #SpecialistInFailure

#WengerIn

Ukweli ni kwamba Arsenal ni mabingwa wa FA Cup 2013/2014....

#Mburukenge Man Utd ni trophy less msimu huu na mwakani hawashiriki hata Europa League..

Ni ajabu na inashangaza kocha aliyeshinda vikombe vitatu vya EPL, vitano vya FA na Community shields nne kuitwa Specialist in failures.....Chuki binafsi?
 
hii room mpaka July basi itatokea kwenye 1723 mpaka 3000 pages Tusubiri Pic za Wacha1 tuwape nafasi Yao.
 
hongereni kina Piere. Fm na Rubaman na wenzake Leo Rubaman naona hautolala Wenger anaona Prince William anachelewesha kuibeba hehehe.

Thanks mkuu leo furaha ya kwenda shule natafuna big G
 
Ukweli ni kwamba Arsenal ni mabingwa wa FA Cup 2013/2014....

#Mburukenge Man Utd ni trophy less msimu huu na mwakani hawashiriki hata Europa League..

Ni ajabu na inashangaza kocha aliyeshinda vikombe vitatu vya EPL, vitano vya FA na Community shields nne kuitwa Specialist in failures.....Chuki binafsi?

Quiting managerial activities? Going to modelling?!? ImageUploadedByJamiiForums1400352918.215782.jpg
 
Hao wamebaki kujifariji tu hivi sasa, wao mtaa wao wa saba...

Furahini leo, ila kumbukeni, kiWenger kimewaganda...na keshasema yupo tayari kurenew contract.

Msije kuanza kulalama tu badae...Wenger angekuwa anajipenda, angestaafu ili asije kuondoka kwa aibu.

Kwa miaka 9, kushinda kombe 1 siyo mafanikio. Kwani, hata Wigan, Portsmouth nao wanalo hilo kombe 1.

Leo mtasahau kila kitu, lakini ukweli unabaki, Arsenal kuna shida kubwa. Uwezo wa Wenger umeshafika Omega. Hana jipya zaidi ya kuwajambisha goons kila mara..
 
hii room mpaka July basi itatokea kwenye 1723 mpaka 3000 pages Tusubiri Pic za Wacha1 tuwape nafasi Yao.

Na ninyi ndio mtasababisha ufike huko maana kutwa mnashinda humu....
 
Leo au Keshokutwa ndio Kabati litaenda kuwekewa Kombe naona Panya watatoka mbio kwa mshangao na kitambaa cha vumbi kwa mara ya kwanza baada miaka 9 kitaenda kugusa vumbi, Rio kwenye TV hapa za BT UK kina David James,a Steve Mcmanaman na Ian Wright wanamtania Rio fredinand Kama anajisikia kwenda Arsenal sababu wameshinda Kombe Rio Kaguna wanamwambia toa jibu hehehe. Steve Mcmanaman anamsifia Sanogo anasema watu wamemsahau Higuain na Suarez kwa namna Sanogo alivyocheza Leo.
 
Mheshimiwa achana naye huyo yupo anajifariji,,,,

Nijifariji kwa lipi arifu? Kwamba naona wivu goons kushinda? No way my chief!!

Hili si jukwaa la michezo ama?! Mbona nyiye uwa mnakuja na mbwembwe zote kule kwetu?

Kwa hiyo hamtaki utani ama?

Haya bana ngoja niwaache mabingwa wa Football Association Cup.

Lakini, ukweli utabaki, ni kuwa 1 trophy in 9 years is an indication of failure.

#WengerIn
 
Nijifariji kwa lipi arifu? Kwamba naona wivu goons kushinda? No way my chief!!

Hili si jukwaa la michezo ama?! Mbona nyiye uwa mnakuja na mbwembwe zote kule kwetu?

Kwa hiyo hamtaki utani ama?

Haya bana ngoja niwaache mabingwa wa Football Association Cup.

Lakini, ukweli utabaki, ni kuwa 1 trophy in 9 years is an indication of failure.

#WengerIn

Ha ha ha haaah,,,,,usiondoke mkuu, unatuchangamsha hata hivyo....
 
Sijui leo Roy Keane atasema hatustahili kushangilia ubingwa sababu tumewafunga the Mid-table Hull City au atanyamaza? Naona wale watu waliomaliza darasa la saba wamenuna leo . Anzisheni wimbo mpya wa 10yrs since winning EPL trophy iwe motivation yetu next season while nyie mkisumbuka kutafuta kocha. Inaelekea LVG anajiuliza aje Old trashToad au arudi Barca Hahahahahahaha
CC Belo, DonDonald, Nzi, Mndengereko, Prondo
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom