BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Parade kama kazi leo, karibu sana ila shurti utinge ndani ya uzi wetu 🙂🙂
Naona mshaanda na parade....View attachment 158884
Naona mshaanda na parade....View attachment 158884
Nipo Mkuu, Thanks kwa juhudi zako za kuniulizia Mkuu 🙂🙂, nilijua hutakosa hapa kuja kutuzodoa 🙂🙂 lakini kombe letu hili leo 4-2
Haya bana...mimi mtazamaji tu hapa.
hapo ndio imeonyesha watu awafuatilii sana game za LaLiga mpaka Real na Barca wacheze Hiyo ni mshindi Kombe La La Liga ila watu wengi tunatizama FA Cup.Barca 1 atl 0.
Arsenal 0 - hull city 2