Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hivi kwa mfano, ingekuwa Man Utd ndio mmeifunga Wigan, msingeshangilia kuingia Final?....QUOTE: Roy Keane: "These Arsenal players need a reality check. They're celebrating beating a Championship team." http://t.co/FiP6vtOSD4
Well said Keano...
. umesema kweli Kabisa mara ya mwisho LFC tulishinda na. Cardiff kwa. Penalt Final wacha tu Arsenal washangilie wangefungwa si wangenuna? Alichoongea Roy Keane kanifurahisha yeye mwenyewe Mie hata niifunge timu daraja la 100 nitashangilia sababu tukifungwa watashangilia wao. Japo Mie sio Arsenal hapo Roy Keane kachemsha.Hivi kuna timu ambayo haijawahi kushangilia kuingia fainali yeyote ile? Mtu kama Keane anayejua maana ya kombe la FA asingepaswa kusema alichosema. This is the oldest knockout competition in the history of England football competitions maybe in the World, Arsenal deserved to celebrate with their fans. Hata kama Arsenal wangeifunga a Conference team kushangilia ni wajibu. Kitu Arsenal walichofanya ovyo ni kushangilia 4th spot last season lakini hili la kushangilia kuingia Fainali si jambo la kuchekwa wala kuona aibu.
Hivi kwa mfano, ingekuwa Man Utd ndio mmeifunga Wigan, msingeshangilia kuingia Final?....
Keane naye kama Kocha hana tofauti na Wenger = Failures
Kama Arsenal watalibeba hili kombe media za UK zitabadili wimbo wa Trophyless season wataanza kuimba 10 years since Arsenal won the league blah blah blah..Just Watch and pray Arsenal win the FA cup.
Hivi kwa mfano, ingekuwa Man Utd ndio mmeifunga Wigan, msingeshangilia kuingia Final?..../QUOTE]
Kula leki Arsenal can't win against these haters. Endapo tutalibeba hili kombe bado watatusimanga. Kitu kimoja ambacho Wachezaji wa Arsenal wanachoniudhi ni hizi f'ing Selfie kama teenagers with no brains..
Hivi kuna timu ambayo haijawahi kushangilia kuingia fainali yeyote ile? Mtu kama Keane anayejua maana ya kombe la FA asingepaswa kusema alichosema. This is the oldest knockout competition in the history of England football competitions maybe in the World, Arsenal deserved to celebrate with their fans. Hata kama Arsenal wangeifunga a Conference team kushangilia ni wajibu. Kitu Arsenal walichofanya ovyo ni kushangilia 4th spot last season lakini hili la kushangilia kuingia Fainali si jambo la kuchekwa wala kuona aibu.
Wenger kuongeza mkataba next week
Nafikiri 17 Mei...
Unajua kwann walishangilia ile 4th position?
Hadi Mei 17, Koscielny, Ozil, Wilshere nadhani watakuwa fit plus bonus ya Diaby tutakuwa na nafasi nzuri katika selection ya wachezaji.
Unajua kwann walishangilia ile 4th position?
Hadi Mei 17, Koscielny, Ozil, Wilshere nadhani watakuwa fit plus bonus ya Diaby tutakuwa na nafasi nzuri katika selection ya wachezaji.
Kumzidi Spurs.
Duh Barcelona nae kapigwa...huu mpira kweli kichwa cha mwendawazimu
Hivi kwa mfano, ingekuwa Man Utd ndio mmeifunga Wigan, msingeshangilia kuingia Final?..../QUOTE]
Kula leki Arsenal can't win against these haters. Endapo tutalibeba hili kombe bado watatusimanga. Kitu kimoja ambacho Wachezaji wa Arsenal wanachoniudhi ni hizi f'ing Selfie kama teenagers with no brains..
Come on, don't be harsh on the KIDS...it is their first cup final ever!
Metersacker,Ox,Sagna,Ramsey na Sanogo watarudi wodini
. umesema kweli Kabisa mara ya mwisho LFC tulishinda na. Cardiff kwa. Penalt Final wacha tu Arsenal washangilie wangefungwa si wangenuna? Alichoongea Roy Keane kanifurahisha yeye mwenyewe Mie hata niifunge timu daraja la 100 nitashangilia sababu tukifungwa watashangilia wao. Japo Mie sio Arsenal hapo Roy Keane kachemsha.