Duh nawafuatilia wakuu kutoka huku juu ya mti..leteni update za maana game iko vp, wapu tumewashika? Wapi pako pabovu and all..mi muda wote narefresh page tu, siogopi nyoka pande za huku ila baridi tu inanipiga.. MbuWacha1Katavidully jr Piere. FmBalantanda na wengineo nawahitaji hapa.
Pole NtuzuMentorMorinyo
Duh nawafuatilia wakuu kutoka huku juu ya mti..leteni update za maana game iko vp, wapu tumewashika? Wapi pako pabovu and all..mi muda wote narefresh page tu, siogopi nyoka pande za huku ila baridi tu inanipiga.. MbuWacha1Katavidully jr Piere. FmBalantanda na wengineo nawahitaji hapa.
Pole NtuzuMentorMorinyo
Ok vp lakini Gunners wana uhai kule mbele upande wa mashambulizi? Ox yupo? Vp Gibbs? Nani anatumikia adhabu ya ile redcard ya makosa? NziMbuWacha1Piere. Fm Naomba jibu hapo
Ok vp lakini Gunners wana uhai kule mbele upande wa mashambulizi? Ox yupo? Vp Gibbs? Nani anatumikia adhabu ya ile redcard ya makosa? NziMbuWacha1Piere. Fm Naomba jibu hapo