Naam! Naam, Naam!
Atimae ile siku iliyokua inasubiriwa Kwa hamu kubwa ya kuwashusha watoto hadi nafasi ya 4 ktk ligi ya EPL imewadiwa!
Arsenal itaingia uwanjani Leo Kwa rekodi ya siku 14 ya kupoteza mechi 2 kubwa na kushinda moja huku mabingwa Wa ulaya Wa kwanza Kwa mji Wa London yaani watoto Wa Darajani matajiri wakiwa Na rekodi ya Siku 14 Kwa kushinda mechi 2 na kupoteza moja!
Naam! Hali ni ngumu Kwa watoto wakiwa kwao Emirate huku wakiwa wamechanganyikiwa Kwa kuanza kuporomoka Kutoka nafasi ya kwanza hadi ya tatu na kuanza kuwapa Mashabiki wao Presha! Ata wale Mashabiki wao waliokua wanashinda kwenye huu Uzi wakiota ubingwa eti kwa kuongoza ligi wameamza kujificha dalini! Teh Teh Teh! Presha!!!
Naam wapenzi Wa kabumbu Leo tunamshuhudia Happy One akiwafundisha watoto SOCCER
Kaeni mkao Wa burudani