Acha kujifariji wewe!
Man utd
Man city
Chelsea Ndo zimefuzu Kwa second leg na si nyie!
Leo sisi Tuko na kibonde na mpaka sasa tunaongoza!
Refa kawanyima penati Napoli!
Wakuu hii mechi sitaki kuiona hadi mwisho isije ikaniumiza sana hadi nikakosa usingizi. Nitasubiri matokeo, but Mars 1- Dort 1 tukae tukilielewa hilo!!!!
Acha kujifariji wewe!
Man utd
Man city
Chelsea Ndo zimefuzu Kwa second leg na si nyie!
Leo sisi Tuko na kibonde na mpaka sasa tunaongoza!
Refa kawanyima penati Napoli!
Naona arsenal wanajitutumua kufanya kashambulizi Kwa shuti la mguu Wa mavi Wa Ozil! Na kanakua kashuti Mbuzi huku Chelsea wanakosa nafasi mbili za wazi!