Unamjua Manduki wewe?!? Tungekuwa hatuufahama mpira, tusingekuwa na makombe 19 ya EPL, 3 ya UCL, 2 ya Klabu Bingwa ya Dunia na mengineyo. Yaani nyie Arsenal siyo wa level yetu. #WeeClub
kwa kiwango cha Asernal bora watoke tu maana hata wakipita hapa huko mbeleni wataenda kutia aibu tupu,wanacheza chini ya kiwango yaani ni Mungu saidia tu