Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Wenger kaishiwa kabisa bado anafundisha mpira wa kizamani sana.

Hana kabisa mkakati unaolingana na Timu pinzani, kocha mzuri ni yule anayepanga Timu na kubadilisha mbinu kulingana na Opponent anayekutana naye that time, huwezi kutumia mfumo mmoja tu kucheza msimu mzima bila kubadilika.
 

Tokea uingie humu leo umeongea point
 


Mkuu Wacha1, ninakuaminia kwa imani uliyonayo kwa hii timu, mwenzio sijui ni kwa nini nimeshapoteza matumaini yote-sioni kama kuna juhudi zinafanywa na hawa wenzetu kurekebisha hii hali!!
 
Last edited by a moderator:
Habari zilizopo ni kwamba baada ya game ya jana, defence nzima ya arsenal wameingia mkataba mnono na watengezaji wa magodoro ya silentnight..lool
 


akirushiwa muafrika tunalalama!......hapo wamemrushia Gareth Bale si unamuona sura yake ni kama wale homosapiens tumesoma ktk historia!
 

na sasa hivi wamesema wana £123 million kwenye account ila utashangaa summer ikifika wanachukua wachezaji wa £5mil or £10mil badala ya kutoa pesa ya maana kama akina man city/chelsea. Arsenal needs to spend at least £30mil on one player lasivyo mtakua hamshindi kitu
 

Bado hata mbinu za kocha wetu ni too predictable tunahitaji kununua wachezaji mahiri wachache katika kila department kwani naiona timu nzuri pale kuliko watu wanavyodhani ila "Tactics za wenger zinatia shaka" similar failling each big game!
 
Mkuu Wacha1, ninakuaminia kwa imani uliyonayo kwa hii timu, mwenzio sijui ni kwa nini nimeshapoteza matumaini yote-sioni kama kuna juhudi zinafanywa na hawa wenzetu kurekebisha hii hali!!

Mkuu wala usiwe na wasi wasi EPL ni mechi 38 baada ya hapo utaona kila timu inachukua nafasi gani. Spuds wala hawaniumizi kichwa mimi tumecheza nao mechi mbili kwenye EPL wametufunga jana na chichi tuliwafunga walipokuja Emirates sasa where is the beef tena sisi tuna extra goals kutoka kwao.

Usione wanoko wamejaa hapa timu inayoogopewa ni
Gunners wapo kila kwenye tabloids kisa mipango inayowekwa ni ya uhakika siyo kutegemea sugar daddys.
 
Asee mi naipenda sana gunners lakini nimegundua kuwa kuna watu wanaipenda mara milioni moja zaidi yangu. Wakuu mkumbuke kuwa tunakaribia mwaka wa 10 sasa hatujachukua kikombe chochote! Hizo story za sijui kuna kiasi gani cha fedha kipo kwa ajili ya kusajili wachezaji mbona tunaziskia kila summer? Mbona kila january wimbo ni huohuo? Na AW anasema kila siku atasajili lakini unashangaa hadi deadline ya transfer inafika hajasajili mtu, sana sana utaskia kasajili kitoto cha miaka 15!

Hii timu inaendeshwa kibiashara zaidi which is good for the owner na AW is the perfect man for him, kama unaendesha biashara unafikiria kupata faida na ukiwa na manager kama AW ambaye hatumii hela zako kwa sana kununua wachezaji na wakati huohuo anauza waliopo na kukuletea mamilioni, what else do you want? You never sack him. Lakini haya masuala ya balance sheet na ukubwa au udogo wa deni, they mean absolutely nothing to me kama mshabiki if the team is not performing. AW na board wagundue kwamba mpira ni hela siku hizi- you dont spend- you dont win, its that simple!

For the first time in 16 years we are in a serious risk of missing out on the CL spot, this will hit them hard in their pockets kwa kukosa mamilioni yanayokuja na ushiriki wa mashindano hayo and to be honest- I so hope it happens kwa sababu hata tukishiriki, we all know the highest we can get ni robo final, bora tukose wanunue wachezaji wa maana tujenge timu.
 

Nakuunga mkono mkuu
 

Maneno ya Mkosaji haya
 

Inadhihirisha kuwa ili muishinde spurs kwa sasa, inabidi wacheze kumi uwanjani...vingenevyo hamna kitu
 
Board haiwezi kumfukuza Arsene kwa mambo mengi
Anaingiza pesa
anajua kufundisha kwa kuiweka timu hatua nzuri
hatumii pesa nyingi
halalamiki kwa board kuhitaji zaidi

timu itakapokosa pesa kwa kushindwa na mafanikio ndio wataanza kujiuliza kulikoni
 
Nimeipata sehemu hii kitu, Hapa: Arsenal kuwabomoa Swansea - Tanzania Sports
 




In demand!

Ati nini? Walitaka kumnyakua Prof ... ..... .Wana wazimu .... ..
Prof yupo Gunners ... .. leo anaendelea pale Colney kuwafunda vijana mambo yote keshokutwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…