Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Mar 3, 2013 #25,401 Aaron Lenon La pili.....Goli kama la kwanza tu
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Mar 3, 2013 #25,402 Lennon Aje kipande hiki..
Ubumuntu JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 14,382 Reaction score 10,951 Mar 3, 2013 #25,403 Richard said: Gareth bale anatufunga. Click to expand... Gareth Bale wa mabalaa. Nasikia leo hapo White Hart Lane kuna televisheni za nje nyingi kuliko katika mechi yoyote ya ligi msimu huu. Unajua kwanini?!? Wamekuja kumwangalia Bale wa mabalaa!
Richard said: Gareth bale anatufunga. Click to expand... Gareth Bale wa mabalaa. Nasikia leo hapo White Hart Lane kuna televisheni za nje nyingi kuliko katika mechi yoyote ya ligi msimu huu. Unajua kwanini?!? Wamekuja kumwangalia Bale wa mabalaa!
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,665 Reaction score 25,689 Mar 3, 2013 #25,404 This is shocking!
Konya JF-Expert Member Joined Jun 4, 2011 Posts 921 Reaction score 118 Mar 3, 2013 #25,405 hii ndio arsenal bana mapemaaa..
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Mar 3, 2013 #25,406 Kiungo kimekufa....Beki nayo ndo ya hovyo....Makosa ya goli la kwanza ndo yaleyale ya goli la pili.... Kifuatacho?....Tumezoea sie.... Japo muda bado sana kurudisha magoli hayo mawili na kuongeza lingine
Kiungo kimekufa....Beki nayo ndo ya hovyo....Makosa ya goli la kwanza ndo yaleyale ya goli la pili.... Kifuatacho?....Tumezoea sie.... Japo muda bado sana kurudisha magoli hayo mawili na kuongeza lingine
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,665 Reaction score 25,689 Mar 3, 2013 #25,407 Mkuu Bantalanda, naona baada ya mapumziko timu itabadilishwa.
mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Mar 3, 2013 #25,408 Unapocheza na timu yenye wachezaji kama Bale na Ronaldo lazima uwe makini sana kwenye beki la sivyo inakuwa disaster
Unapocheza na timu yenye wachezaji kama Bale na Ronaldo lazima uwe makini sana kwenye beki la sivyo inakuwa disaster
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Mar 3, 2013 #25,409 Balantanda said: Aaron Lenon La pili.....Goli kama la kwanza tu Click to expand... beki inajisahau sana..
Balantanda said: Aaron Lenon La pili.....Goli kama la kwanza tu Click to expand... beki inajisahau sana..
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Mar 3, 2013 #25,410 Dark City said: Pole sana mkuu....na sasa wamepiga jingine! Click to expand... Muda bado sana babu.... Nina uhakika tutarudi 2nd half na kusawazisha kisha kuongeza... Mpira dakika 90 babu DC
Dark City said: Pole sana mkuu....na sasa wamepiga jingine! Click to expand... Muda bado sana babu.... Nina uhakika tutarudi 2nd half na kusawazisha kisha kuongeza... Mpira dakika 90 babu DC
Nyaluhusa87 JF-Expert Member Joined Oct 14, 2011 Posts 1,303 Reaction score 262 Mar 3, 2013 #25,411 ht 2-0
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,665 Reaction score 25,689 Mar 3, 2013 #25,412 half time Mabeki wa Arsenal wana maswali ya kujibu. Vermaelen na Mertesacker hawana mawasiliano kabisa na Ramsey hachezi mpira umepooza. Wenger inabidi kuwaingiza Podolski na Diaby kipindi cha pili.
half time Mabeki wa Arsenal wana maswali ya kujibu. Vermaelen na Mertesacker hawana mawasiliano kabisa na Ramsey hachezi mpira umepooza. Wenger inabidi kuwaingiza Podolski na Diaby kipindi cha pili.
Mbu JF-Expert Member Joined Jan 11, 2007 Posts 12,752 Reaction score 7,876 Mar 3, 2013 #25,413 .......Dont give up, together we stand!
P Pazi JF-Expert Member Joined Mar 5, 2011 Posts 2,946 Reaction score 1,815 Mar 3, 2013 #25,414 Kweli football ni Dk 90 kama za mwanzo walifunga 2-0 basi za pili Dk 45 Arsenal wanauwezo nao wa kupiga 2-0 au 3-0 lasivyo Totenham wakipata jengine Game Over, Walcolt anahitaji akili za mpira wa miguu muda mwengine.
Kweli football ni Dk 90 kama za mwanzo walifunga 2-0 basi za pili Dk 45 Arsenal wanauwezo nao wa kupiga 2-0 au 3-0 lasivyo Totenham wakipata jengine Game Over, Walcolt anahitaji akili za mpira wa miguu muda mwengine.
Balantanda JF-Expert Member Joined Jul 13, 2008 Posts 12,484 Reaction score 4,821 Mar 3, 2013 #25,415 Richard said: Mkuu Bantalanda, naona baada ya mapumziko timu itabadilishwa. Click to expand... Muda bado sana mkuu.... Nina uhakika tutarudi vizuri 2nd half na kusawazisha kisha kuongeza.. So far tatizo ni kiungo...kimepwaya sana...Ramsey kapwaya na beki inategeana...magoli yote mawili ni uzembe wa mabeki... Wenger angejua angekuwa anampanga Ramsey dakika 20 za mwisho...hana quality ya 1st team player... Yote kwa yote...Hii ni North London derby, lolote laweza kutokea
Richard said: Mkuu Bantalanda, naona baada ya mapumziko timu itabadilishwa. Click to expand... Muda bado sana mkuu.... Nina uhakika tutarudi vizuri 2nd half na kusawazisha kisha kuongeza.. So far tatizo ni kiungo...kimepwaya sana...Ramsey kapwaya na beki inategeana...magoli yote mawili ni uzembe wa mabeki... Wenger angejua angekuwa anampanga Ramsey dakika 20 za mwisho...hana quality ya 1st team player... Yote kwa yote...Hii ni North London derby, lolote laweza kutokea
Richard Platinum Member Joined Oct 23, 2006 Posts 16,665 Reaction score 25,689 Mar 3, 2013 #25,417 Ila watu wasikimbie magoli yatakaporudi COYG
mfarisayo JF-Expert Member Joined Nov 23, 2010 Posts 5,160 Reaction score 2,004 Mar 3, 2013 #25,418 KAITANUA
T Tabalo JF-Expert Member Joined Feb 10, 2013 Posts 294 Reaction score 84 Mar 3, 2013 #25,419 Still hoping
Oxlade-Chamberlain JF-Expert Member Joined May 26, 2009 Posts 8,635 Reaction score 2,209 Mar 3, 2013 #25,420 Tutarudi tu. Nyuma beki imekosa kiongozi.