Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Waje Emirates sasa, wakuu wa Gunners hongereni sana hii ndio thread ambayo ipo Live wakati wa gemu siyo za kubebwa na mbeleko hata Invisibles wanazibeba. COYG .... ... next Sunday Mancs ndet upo?


Blessed week from Adams!!!
 



Mzee wa kulialia mbona unaonyesha utupu wako?! Amekwambia initial reaction alifikiri penalty, lakini hajaangalia mara ya pili....na mara ya pili ina maana video replay ambayo iliconfirm kwamba Ramsey alijigonga mwenyewe....utalia sana mwaka huu, another trophyless season coming at the Emirates graveyard.
 


Oh noooo Peas of ants dont hurt him that much...there is a trophy for fourth position in the EPL..ts the one they r aiming at!!!! Khe khek khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.........
 

Go back there and speak again!!!!
Lol..kumbe kuna kuwaga na spies kule kwetu eeh!???
 
Oh noooo Peas of ants dont hurt him that much...there is a trophy for fourth position in the EPL..ts the one they r aiming at!!!! Khe khek khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.........



Ooops! Sorry mate! I've forgotten about 4th place title, they are really good at it....hahahhaaaaa!
 
Ooops! Sorry mate! I've forgotten about 4th place title, they are really good at it....hahahhaaaaa!


The trophy winner...seven years in a row..always taking FOURTH POSITION CUP!!! khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 

Kwani aliyekwambia football I mean soccer inachezwa kama cricket ..... ...... ... umefufuka lini? Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeee chacha Benitez mnamfukuza lini? Mnaye tu na hamuwezi mfanya lolote maana Abraham kawasokomeza kweli kweli na hamuwezi litoa hadi akubali menyewe khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
:biggrin1: yaani nyie gooners mnanichekesha kweli...hata matokeo ya timu yenu hamjui...jus a bunch of fake fans you are....

Lakini wasiojua matokeo ni bora kuliko wanaowashadidia mashoga, maana wanashabikia kile wasichokijua ... ... khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

 
Oh noooo Peas of ants dont hurt him that much...there is a trophy for fourth position in the EPL..ts the one they r aiming at!!!! Khe khek khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.........

Tukumbushe basi mwaka jana kwenye EPL mlishika nafasi ya ngapi? Hamuwezi kumwelewa prof nyie, mnawaelewa wale waliogushi vyeti au kupewa vya bandia au kununuliwa kama mafioso . ... .... ... ... mlikimbia umande nini?
 



Kilio cha samaki, machozi yanakwenda na maji. Mwaka huu utalia sana lakini hakuna atakayekujali.
 
Tukumbushe basi mwaka jana kwenye EPL mlishika nafasi ya ngapi? Hamuwezi kumwelewa prof nyie, mnawaelewa wale waliogushi vyeti au kupewa vya bandia au kununuliwa kama mafioso . ... .... ... ... mlikimbia umande nini?

We are not after positions man...iyo ndo tofauti ya CHELSEA na Ass ANAL...khe khe kheeeeeeeeeeeeeeee......we going for the trophy man..tukilikosa tumelikosa hatujitetei na kumaliza position ya tatu afu mnamuuza your greatest mercenarry to your enemy!!! khe khe kheeeeeeeeeeee
 
[h=2]Hapa vipi wakuu tutatoka na point ngapi?

Arsenal's crowded fixture list[/h]
  • 13 Jan: Man City (h) Premier League
  • 16 Jan: Swansea (h) FA Cup
  • 20 Jan: Chelsea (a) Premier League
  • 23 Jan: West Ham (h) Premier League
  • 26/27 Jan: Brighton (a) FA Cup fourth round *
  • 30 Jan: Liverpool (h) Premier League
  • 2 Feb: Stoke (a) Premier League
* Dependent on winning Swansea replay
 

Tukikaza tutapata hata zote.....ila tatizo timu haiko kwenye potential nzuri ya ushindani......tunahitaji usajili wa DM na CF (before january transfer window closed).
 

Hapo ni kupigwa kwa style mbalimbali
 



Hawezi kukuelewa mbwiga huyo kwa sababu malengo yetu ni tofauti kabisa na wao. Mwanzoni mwa msimu Chelsea wanaweka malengo ya kutwaa vikombe wakati Arsenal wanaweka malengo ya kumaliza wa nne....We live in two different planets.
 



Most likely 2 points if you're very lucky (see red font).
 

And that's my prediction..blue & bold
 
Its going to be more than 3 points since we are sure of winning against Abramovich Football Club.

Second position right??! Yes you will surely get that....khe khe kheeeeeeee.....
Ask arsene wenger huwa hataki kuchukua first position.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…