timu zote zimecheza boxin day except arsenal eti kisa mgomo wa tube...huo ni upuuzi and its unfair to other teams to play every 4 days na arsenal wamepumzika...
Tumeamua kuwapumzisha ili mle sikukuu vizuri msije kula Xmass kwa machungu. Pia tunataka kuondoa kisingizio cha wachezaji wamechoka mnapofungwa. Mary Xmass and happy new year
timu zote zimecheza boxin day except arsenal eti kisa mgomo wa tube...huo ni upuuzi and its unfair to other teams to play every 4 days na arsenal wamepumzika...
''Abou Diaby is close to a return, he started the season in rampant fashion as Arsenal went unbeaten in five'' wiki ijao anaanza mazoezi na itamchukua kama wiki moja tu kuwa sawa ... .... .... vile vile Santos anarejea .... ....
View attachment 77124
Nasikia mkuu vermaelen anapumzika hapa kwa mwanadada Polly Parsons,huyu ni British Tv presenter.Isije ikawa ndo reason nowadays vermaelen anaanza kuwa soft.
kama umekaa london ungejua bila tubes ni ngumu kufika emirates ... unadhani kwanini ule uwanja umewekwa pale,,,..?
kama hilo swala wanalijua basi games za boxin day za arsenal wawe wanacheza away from home kwanini wanapangiwa kucheza emirates kama wanajua mara nyingi kunakuwaga na mgomo wa tube
Chacha si umuulize Fungie yeye ndiye anapanga nani acheze na nani, huwa anapanga fixtures, Wacha kuwanga huku hakuna mashoga ... .... ..
Chacha si umuulize Fungie yeye ndiye anapanga nani acheze na nani, huwa anapanga fixtures, Wacha kuwanga huku hakuna mashoga ... .... ..
kama hilo swala wanalijua basi games za boxin day za arsenal wawe wanacheza away from home kwanini wanapangiwa kucheza emirates kama wanajua mara nyingi kunakuwaga na mgomo wa tube
Achana nao hao ingekuwa ndo Man Utd wamepumzishwa wangechongoa mdomo mwaka mzima kuwa wanapendelewa
Starting 11 imekaaje wakubwa
Coyg