Mkuu haya ndio matokeo ya kuwa na meneja anayeitwa AW akishtikiana na Team management ambaye katika usajili wa kila msimu anazidi kuishusha hadhi timu kwa kupoteza wachezaji wazuri na kusajili magarasa. Tuombe Mungu tu tusitundikwe 10 kwa nunge
Katavi ameona toka game ya Norwich na Schalke wakaja QPR tatizo ni kuwadekeza wachezaji kufanya " Try and Errors" kama alivyokuwaga kamgang'ang'ania ALMUNIA na SENDEROS