Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Hatimaye jamaa kafunga.
But Giroud alikosa penalty na hakucheza vizur!! Naona kama Walcot na Arshavin wanaiweza vizur zaidi hiyo nafasi ya Giroud!
Inabidi tu Wenger akubaliane tu na hali halisi kuwa Giroud baado kabisa!
 
But Giroud alikosa penalty na hakucheza vizur!! Naona kama Walcot na Arshavin wanaiweza vizur zaidi hiyo nafasi ya Giroud!
Inabidi tu Wenger akubaliane tu na hali halisi kuwa Giroud baado kabisa!

Hapana mkuu!! Hata van kule manure penalty ya Kwanzaa alikosa.. girold needs time!!! Ninavyoamini Wenger hakosei!. Kina berkamp walikuja ku score baada ya match tisa
 
Hapana mkuu!! Hata van kule manure penalty ya Kwanzaa alikosa.. girold needs time!!! Ninavyoamini Wenger hakosei!. Kina berkamp walikuja ku score baada ya match tisa
Nimekuwa nikifuatilia impact ya kila mchezaji kwenye games mbalimbali. Ukiangalia Arshavin, akicheza kama namba kumi, anakuwa na uwezo sana especially kwenye assists. Walcot naye licha hayupo consistency, but anakuwaga na impact! Giroud ana nguvu but bado hajui kujiposition, game ya jana tungekuwa na striker anayejua kujiposition, tungeshinda hata goli kumi.
 
Nimekuwa nikifuatilia impact ya kila mchezaji kwenye games mbalimbali. Ukiangalia Arshavin, akicheza kama namba kumi, anakuwa na uwezo sana especially kwenye assists. Walcot naye licha hayupo consistency, but anakuwaga na impact! Giroud ana nguvu but bado hajui kujiposition, game ya jana tungekuwa na striker anayejua kujiposition, tungeshinda hata goli kumi.

siku zote mi mfuasi na shabiki mkubwa wa Little Russian jamaa anajua ukimpanga Central Role jana katoa 3 goal assists na katupia Moja!
 
Hapana mkuu!! Hata van kule manure penalty ya Kwanzaa alikosa.. girold needs time!!! Ninavyoamini Wenger hakosei!. Kina berkamp walikuja ku score baada ya match tisa

Arsene knows and he is much experienced than everybody here! WHO KNEW Jekinson would be like how he is now? Who knew Szchezny,oxlade,varmaelen,koscielny? Najua anapikwa maana hata EDUARDO alianza kama jamaa akaja kuwa Prolific goal scorer kabla ya Ile terrific leg breaking injury
 
But Giroud alikosa penalty na hakucheza vizur!! Naona kama Walcot na Arshavin wanaiweza vizur zaidi hiyo nafasi ya Giroud!
Inabidi tu Wenger akubaliane tu na hali halisi kuwa Giroud baado kabisa!

Mkuu Giroud ameanza mechi 4 tu. Katika hizo ana assist 2 na goal moja. Na assist mojawapo ni ya jana kwa Arshavin, pamoja na goal lake that is not a bad perfomance. Usitarajie maajabu overnight, tumpe muda he'll get there.
 
Nimekuwa nikifuatilia impact ya kila mchezaji kwenye games mbalimbali. Ukiangalia Arshavin, akicheza kama namba kumi, anakuwa na uwezo sana especially kwenye assists. Walcot naye licha hayupo consistency, but anakuwaga na impact! Giroud ana nguvu but bado hajui kujiposition, game ya jana tungekuwa na striker anayejua kujiposition, tungeshinda hata goli kumi.

Giroud hajui kujiposition? Yani kweli ukimchukia mtu huoni uzuri wake. Basi moja ya strong attributes za Giroud ni kukaa kwenye nafasi. Mechi ya Sunderland na Liverpool kwa mfano alikosa nafasi 2 za goal lakini angalia alivyojipanga ili apewe pasi!

Mi nadhani mashabiki wa Arsenal wengine hatujiamini. For a guy who just joined us, you are worrying a lot.

R. Pires has spoken and said he personally took 5-6 months to get going in the league.

Btw, how many years did RvP take till he was unformidable? Patience.
 
Arsene knows and he is much experienced than everybody here! WHO KNEW Jekinson would be like how he is now? Who knew Szchezny,oxlade,varmaelen,koscielny? Najua anapikwa maana hata EDUARDO alianza kama jamaa akaja kuwa Prolific goal scorer kabla ya Ile terrific leg breaking injury

Yes. Wenger Knows Best.
 
Giroud hajui kujiposition? Yani kweli ukimchukia mtu huoni uzuri wake. Basi moja ya strong attributes za Giroud ni kukaa kwenye nafasi. Mechi ya Sunderland na Liverpool kwa mfano alikosa nafasi 2 za goal lakini angalia alivyojipanga ili apewe pasi!

Mi nadhani mashabiki wa Arsenal wengine hatujiamini. For a guy who just joined us, you are worrying a lot.

R. Pires has spoken and said he personally took 5-6 months to get going in the league.

Btw, how many years did RvP take till he was unformidable? Patience.

Mimi nadhani tumpe muda zaidi jamaa huenda atafanya maajabu.
 
Giroud hajui kujiposition? Yani kweli ukimchukia mtu huoni uzuri wake. Basi moja ya strong attributes za Giroud ni kukaa kwenye nafasi. Mechi ya Sunderland na Liverpool kwa mfano alikosa nafasi 2 za goal lakini angalia alivyojipanga ili apewe pasi!

Mi nadhani mashabiki wa Arsenal wengine hatujiamini. For a guy who just joined us, you are worrying a lot.

R. Pires has spoken and said he personally took 5-6 months to get going in the league.

Btw, how many years did RvP take till he was unformidable? Patience.

Mimi nadhani tumpe muda zaidi jamaa huenda atafanya maajabu.


high lights hizi hapa HD!!! bao la theo la mwisho linanikumbusha king henry!!! anajipasia alafu anakimbilia alafu anafunga!! wenger kasema theo ame prove kwamba anaweza kucheza forward muda wake utafika tu


Arsenal 6 Coventry 1 Extended Highlights - Video Dailymotion
 
[h=1]£62 a seat... MINIMUM! Arsenal v Chelsea to be Prem's most expensive game ever[/h]
Matchday income for the weekend derby could top £6million - as Gunners prepare to announce a £50m profit (and that doesn't include RvP's fee!)



Fernando+Torres-Chelsea-Alex+Oxlade-Chamberlain-+Arsenal+cropped.jpg
Moneyball: Fancy watching Fernando Torres v Alex Oxlade-Chamberlain? It'll cost you!

Arsenal are set to reveal impressive profit figures which could hit the £50million mark - as they prepare to stage the Premier League's priciest match ever.
The profits - which do not include this summer's transfer business, such as Robin van Persie's £24m move to Manchester United - are expected to top £40m and will go higher once the proceeds from property sales are factored in.
Robin+van+Persie
Gravy: Van Persie's fee will add to Arsenal's profits And Arsenal's balance sheet could go even higher next year as their new ticket grading system kicks in against Chelsea, with the cheapest general admission ticket priced at £62.
It could see matchday income top £6m.
Arsenal's finances look in rude health because of ticket sales from the 60,000 Emirates Stadium, which the club are confident will help them compete financially with Europe's big spenders.
The huge figures, however, may not please some fans who were desperate for manager Arsene Wenger to spend more money in the transfer market this summer, but Arsenal's bright start to the season is likely to deflect criticism.
The figures will reveal that Arsenal are one of the biggest payers in the Premier League, as their wage bill is likely to show a rise from about £124m towards £140m.
That is around £40m less than Manchester United, but £45m more than Arsenal's north London rivals Tottenham, and proves that the Gunners do pay top wages.
FC+Cologne+v+Arsenal+-+Pre+Season+Friendly
Top Gunn: Podolski is said to be Arsenal's top earner - on 'only' £90k a week Friedemann Vogel
The club's philosophy shows the money is spread out among many players rather than mostly going to big-name individuals.
It is believed Germany striker Lukas Podolski is now the top earner on around £90,000-a-week following his summer move from Cologne, but Arsenal are big payers across their whole squad.
Arsenal insist the new grading system means tickets for lesser games in the Premier League will now be cheaper, and are down to £35.
They also say the new grading system was implemented in full consultation with fans' groups and got overwhelming support to put prices for bigger games up and lower them for other fixtures on general admission tickets only.
 
Help me out here...For a team which has never won a single trophy since 2005 and has never won the champions league are prepared to charge their fans £62 for a top game why?

MAN UTD are making profits as well as winning trophies, Arsenal are making profits with no single trophy, so ARSENAL are basically a business club..they're there to make money and pay dividends to their shareholders(kroenke etc), would arsenal fans prepare to have £50m pounds just laying there or a champions league medal? Viper, kashengo, mwanaafrika and the rest please explain this to me.
 
Arsene knows and he is much experienced than everybody here! WHO KNEW Jekinson would be like how he is now? Who knew Szchezny,oxlade,varmaelen,koscielny? Najua anapikwa maana hata EDUARDO alianza kama jamaa akaja kuwa Prolific goal scorer kabla ya Ile terrific leg breaking injury

Kuna madogo wengine hatari wanakuja kina serge gnabary, yennaris easfied and so yani balaa na hili ndio kombe letu la kwanza this season.
 
Help me out here...For a team which has never won a single trophy since 2005 and has never won the champions league are prepared to charge their fans £62 for a top game why?

MAN UTD are making profits as well as winning trophies, Arsenal are making profits with no single trophy, so ARSENAL are basically a business club..they're there to make money and pay dividends to their shareholders(kroenke etc), would arsenal fans prepare to have £50m pounds just laying there or a champions league medal? Viper, kashengo, mwanaafrika and the rest please explain this to me.

The Answer is easy, we fans like to watch beautful game.
 
Giroud hajui kujiposition? Yani kweli ukimchukia mtu huoni uzuri wake. Basi moja ya strong attributes za Giroud ni kukaa kwenye nafasi. Mechi ya Sunderland na Liverpool kwa mfano alikosa nafasi 2 za goal lakini angalia alivyojipanga ili apewe pasi!

Mi nadhani mashabiki wa Arsenal wengine hatujiamini. For a guy who just joined us, you are worrying a lot.

R. Pires has spoken and said he personally took 5-6 months to get going in the league.

Btw, how many years did RvP take till he was unformidable? Patience.

Giroud alisema rvp amekaa arsenal miaka saba na kuwa pale alipo today so na yeye anahitaji time and patience
→time will tell←
 
Help me out here...For a team which has never won a single trophy since 2005 and has never won the champions league are prepared to charge their fans £62 for a top game why?

MAN UTD are making profits as well as winning trophies, Arsenal are making profits with no single trophy, so ARSENAL are basically a business club..they're there to make money and pay dividends to their shareholders(kroenke etc), would arsenal fans prepare to have £50m pounds just laying there or a champions league medal? Viper, kashengo, mwanaafrika and the rest please explain this to me.

what bothers you? We don't win trophies and you want us to go bankrupt? Unachekesha ndugu..

1.Arsenal fans UK are real fans not groly hunters like you they pay for a seat whatever the situations winning or Loosing

2.Arsenal is self sustainable club in terms of financial matters then one of the source of incomes is that £62 on Saturday's fixture

3.Arsenal borrowed £390 for Emirates project with HUGE interest rates then youth project was ideal because they are Cheap(in terms of wages and transfer fees) they knew the got themselves in trouble with that Sacrifice then the aim was a top 4 finish winning a trophy was an odd advantage

4.Arsenal has got no owner to pump the cash in like that of Chelsea or Man city then the revenues after Loan repayment,contracts fees,wages costs,dividends,profit sharing=Profit & Tight transfer kit also Arsene has got no tradition of buying £20mil for a single player

5.UEFA financial Fair play in charge next season will make us even stronger because the Stadium Debt is almost over and we spend what we earn...MANCHESTER UNITED's Owner Malcom grazer transfered his own debt to the club almost £450 milions then you had no chance but to sell some of His shares in Usa Newyork stock exchange to Reduce the Debt in order to comply with UEFA FINANCIAL FAIR PLAY RULES

6.OUR club cannot affold to spend over what it gets, after all football is pitch success plus balancing the books

7.Tickets cost of EPL increased by 15% but wonderfuly by first fixture against Sunderland 3/4 of Arsenal tickets were sold...ARSENAL FANS ARE TRUE FANS not Groly hunters

copy to Wacha1 Viper MwafrikaHalisi Jaguar BAK Richard Nzi Ambitious Katavi and Other sports fans in JF
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Giroud ameanza mechi 4 tu. Katika hizo ana assist 2 na goal moja. Na assist mojawapo ni ya jana kwa Arshavin, pamoja na goal lake that is not a bad perfomance. Usitarajie maajabu overnight, tumpe muda he'll get there.
Naunga mkono hoja.Yule traitor RvP pale Old Toilet ameshakosa pen tayari ni kawaida sana tu.
 
Back
Top Bottom