Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Arsenal (The Gunners) | Special Thread

Yehuuuuuuuuuuuuu! hatimaye baada ya mashambulizi ya nguvu na ya muda mrefu
 
What a shot by Koscielny.....


Lilianza kwa shuti la Carzorla, Hart akapangua ikawa kona..........Carzorla kapiga kona......

Koscielny kaachia bonge la shuti.........................Kitu kikawa mwake

Man City 1-1 Arsenal
 
Hili goli la KOS liongeze njaa.....Ila magoli ya ma beki mara nyingi huwa draw........
 
Punguza munkari kamanda. Gemu yenu hii. Nyinyi tu mnashindwa kumaliza.
Hakuna munkari kamanda....Umesema kuwa shabiki wa Arsenal inataka moyo ndo nikakwambia


"Once a Gunner.....A lways a Gunner'

'Haijalishi"
 
Yule Kipa wetu Mpoland akae makao wa kula naona Huyu muitaliano sijui ndo anafuata nyayo za kina TOLDO, BUFON Nk.... Anatutoa kinyama hapa......
 
Back
Top Bottom