kwanini Mvina
tunakata rufaa kwa tff sikubali penalty wamepewa na goal wametunyima...........
Maamuzi ya kijinga zidi ya hawa watoto....van persie equalizer should have remained!
Ilikuwa offside Gallas;
Mazee nimengalia kwa makini, Gallas was out play! linesmen kiazi yule
Ndugu ni hali ya kuchanganyikiwa tu nilikuwa na matumaini sana leo Arsenal tuna shinda...basi ngoja twende hispania kati ya Real Madrid na DepotivoTenga ndo atafanya nn mzee
game ilikuwa yetu sema makosa yetu tuliofanya mawili ndio yametucost powa tu.timu ni nzuri na msimu huu tutakuwa na mafanikio makubwa.
hivi wewe ushafungwa mechi ngapi na timu gani? alafu ndio ujaribu kufikiria mbele.sisi tuko powa sana na nakubali we help man united to come back to the game,they were lost.Sawa baba!!!
La kuvunda halina ubani!!!, ngoma ya kitoto haikeshi sasa vile vichekechea vya arsenal vikakojoe vilale, watu wazima waanze kuangalia movie
kilicho tucost ni kujifunga, hapo ndiyo tukaanza kupoteana daa imeniuma kweli...game ilikuwa yetu sema makosa yetu tuliofanya mawili ndio yametucost powa tu.timu ni nzuri na msimu huu tutakuwa na mafanikio makubwa.
kilicho tucost ni kujifunga, hapo ndiyo tukaanza kupoteana daa imeniuma kweli...