Halisi
JF-Expert Member
- Jan 16, 2007
- 2,802
- 614
KUna wakati mgodi wa Mwadui ulielezwa kwamba haukua ukiilipa serikali mgawo kutokana na hisa zake.. Sasa sina hakika kama wameanza kulipa na kinachofanyika sasa ni HUJUMA ili mgodi uonekana unapata hasara na wasiendelee kulipa huo mgawo. WAKATI WOWOTE (KUANZIA SASA) tutasikia matukio ya kutisha huko MWADUI