1)Israel ipo na itakuwepo kwa kusudi la Mungu.Taifa hili la wateule wa Mungu lilikuwepo toka Abrahamu',Isaka,Yakobo;Musa.
2)Tushughulikie matatizo yetu huko Centrsl Afrika;Sudan;Mauritania nk.Wafrika wanakufa kutokana na silaha kutoka afrca kaskazini na Mauritani utumwa mtindo mmoja
Kwa mujibu wa ukurasa wa fb wa Bbc Swahili, wametoa taarifa ya kifo cha bwana Sharon. My take hakika huyu ndie Legend wa dunia kwani ameweza kulinda nchi iliyobarikiwa thdi ya maadui wa wayahudi,R.I.P
Kweli dua la kuku halimpati mwewe. Mkuki kwa nguruwe kwa binadam mchungu Alshabaab. Boko haram wakiua ni jihad ila Sharon kuua ni ukatili teh hawa watu bana. R.I.P Sharon!