Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,335
- 5,934
Ni mwandishi wa gazeti la Haaretz
Allah ajaalie ushindi kwa Ndugu zetu wapalestina
Moderator ,nawaombeni sana, msifute au kuhamisha nyuzi zangu, mmezidi sasa! Kila nikianzisha thread za maovu/uhalifu wa MAZAYUNI mnakimbilia kuuondoa au kuupeleka kwingine, leo nimeleta taarifa ya maovu wayafanyayo mazayuni kuhusu ushoga mmeuondoa, haya futeni na huu sasa!