Arfi kuondoka CCM

Mtu mzima ovulazione!Kimberly dile mvi ni jure kabisa
 
Hapo sasa itambidi aangalie chama kisicho na mgombea hapo kwenye hilo jimbo,na siasa ilivyo ya ajabu tusishangae aka win
 
Mbona kuatapatapa hivyo. Utulivu hana.
Wasaka tonge utawajua tu kwa matendo wanataka wao ndio wawe washindi kila uchaguzi hawaamini kama wapo wengine ,wakishindwa hukimbilia kwingine,tatizo sio vyama,vyama havipigi kura ,kura inapigwa na wale waliokuchagua hao ndio wakiona umekuwa zigo wanakutosa ,matokeo wasaka tonge hubadili vyama kama vile wanavyobadili vyupi.
 
Mzee ALFI tulia Mkuu CCM ina mpango Wa kukupa UKURUGENZI Wa Halmashauri ya MILELE?
 
Mzee arfi you signed for your destruction.... Zingine porojo tu!!
 
Hiv huyu mzee kwani hana wajukuu wa kucheza nao dakika hizi za uzeeni!
 
Walewale wa Tamaa ya Madaraka kwani na wewe siulikuwa una washinda watu?
 
Makete Kwetu sita mapembelo ya bhene?

Mzee Arfi kaangushwa kura za maoni ktk Jimbo jipya la NSIMBO siyo Mpanda Kati
 
Last edited by a moderator:
lile jimbo ni la CHADEMA hata akigombea Kikwete na mtu yeyote wa CHADEMA lazima CDM itashinda tu
 

Duh! Huyu mzee kiboko. Kweli alitegemea kambi aliyoinyea aikute safi inamsubiri?
 
Mchumia tumbo tu huna hana mbongo ya kuchanganua mambo.

Nilipoona Mchumia nikadhani Rungu kumbe Mchumia Tumbo :smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big::smile-big:. Heri tu awe Mchumia Rungu tu, hataweza kukosa mbongo ya kuchanganua mambo teteteteh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…