Arfi kuondoka CCM

Kiukweli si vyema na sipendi kuwatukana wazee....... Lakini Arfi ni Mpumbavu

.....mpuuzi kabisa yule mzee!

Bado atatanga na njia mpaka apate pressure.
Haki ya Mungu hawezi tena kupata ubunge mpaka age. Mark my words kamanda.
 
Ya kweli hayo? Km ni kweli basi huyu mzee atavunja record ya kuhama vyama kabla ya October.
 

Huyo mzee ndio kesha jichanganya kwa kudanganywa na maccm wakati wa bmk kwa kuwasaliti viongozi wenzake wa ukawa kwa tamaa ya posho,sasa ubunge ndio basi tens.huko act hata udiwani haupati kabisa
 
wengne wakiama ni demokrasia wengne ni waraf wamadaraka duuh
 
Hakaribishwi mtu ccm ili agombee,kawakuta wanaccm huko akafikiria atapishwa,no no no. Hayo ya Chadema unaingia leo unateuliwa kugombea urais. Kule hapana banaaa kuna wenyeji waliokijenga chama hadi kufikia hapo halafu anakuja mtu tu katoka Chadema apewe? Nooooo lazima afate taratibu za chama
 

Huo ndio Mshahara wa wasaliti
 
shikamoo ccm. Maana kwenye bunge la katiba alijifanya kidume eti anatetea wananchi. Ametumika kama ile mipira sasa hana la kufanya. Ccm ndivyo wanavyowaua kisiasa kwa vipande vya pesa

Umenikumbusha msaliti wa kigoma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…