kaaz kweli kweli hahahahAhaaaa haaaa nimemwambia kule chemba kabla mchakato haujafungwa wikiendi hii. Usijali file lako bado natembea nalo. Hebu ngoja kwanza nijipime naye kama tunaendana:
Vigezo vyake: navifikia kiasi gani?
Im looking for a man
1.With a heart to love truly, respect and care for the person he loves - Hapa naqualify na kuzidi.
2.The one with kid/kids and divorced/living alone atapewa kipaumbele - hapa naqualify.
3.Christian - Naqualify
4.Don't care about the skin color, just good looking hahah, Should be confident about his look - hapa atazimia na kublow mapigo (Kwa lugha ya watoto wa mjini). yaani this is HB aka Cool Gentleman.
5.not less than 33yrs not more than 40yrs - Hapa hola nimeula wa Chuya. Nina between 45-48
6.Should be employed or own business or both, a person with big dreams za maendeleo - Hapa nimequalify na zaidi.
7.Awe Faithful and straight asiwe muongo - hapa nimequalify na zaidi.
8.Not less than 1.65M height not more than 1.85 (though not very important), Hapa nimeula wa chuya. Niko 188 CM.
9.you could be drinking ocassionally or not ila usiwe Mlevi - Hapa niko vizuri. Sinywi kabisa.
10. Education not less than a diploma but with sharp mind - Hapa nime over qualify.
11. Anayejua kudeka na kudekeza- Hapa Utatanishi. Sijui Kudeka ila najua Kudekeza.
Je Yeye anameet Vigezo vyangu? Hebu nione:
Awe na Umri usiopita miaka 40 - Hapa naqualify
Awe na umbo zuri na sura ya kuvutia na uzuri wa asili - anaqualify kasema yuko bomba
Awe na tabia njema na asiwe na tamaa mbaya - Anaqualify
Awe ana ndoto za maendeleo na mitazamo chanya katika maisha na anayejiamini - Anaqualify
Awe na Elimu ya kuanzia ngazi ya Diploma - PhD - hapa pia yuko vizuri.
Awe tayari kupendwa na kupendeka, kudekezwa na kudeka - hapa yuko sawa
Awe tayari kwa uhusiano wa muda mrefu kama tutaelewana, hapa hajaweka wazi.
Duh! Ipo kazi
Nalo ni jibu boss!mhhhhhhhhhhhhhh
umefurahi mwenyewe au unaogopa nini hahahahahahaaaaaaaaaaaaa
usijali utampata asiyekunywaNina vigezo vyote, ila wewe ndo umechepuka. I dont even dream of drinking lol. Ukinywa mbele yangu ile harufu ya pombe lazima nishushie panadol.
Pm
umesema kweli Mamii, tatizo sisi wafanyakazi makampuni binafsi tunakuwa busy sana to the extent huwezi kukutana na hawa watu kirahisi rahisi na pia huko kazini tunakuwa na muonekano wa userious wa kazi mpaka watu wanadhani huna muda na hayo mambo na pia kwangu mimi siwezi date mtu ninayefanya nae kazi sijui kwa nini, ndio maana naona hapa jamii forums ni changamsha akili you never know.All the best mumie, just be careful na hii mitandao kupembua wakweli na walaghai!..nimependa ulivyojielezea, unajiamini ipasavyo!!..
Mhhh sijui nianzie wapi ila kwa kweli kumpata a man of your dream ni bahati, basi na mimi katika pitapita zangu zote huko nilipotoka nimeishia kuumia bado sijampata wa sifa na vigezo vyangu na nikampenda na yeye anipende, japo wengi wanatangaza nia, ndio maana nimeamua nijitose hapa nibahatishe huwezi jua, Niko serious and specific kidogo mtanisamehe kwa hilo jamani kipenda roho hula nyama mbichi
I
11. Anayejua kudeka na kudekeza
Walio interested na wanavigezo waniPM, maswali ya wenye vigezo tu ndio yatajibiwa, criticism is allowed lakini taratiiiibu jamani mhhh!! Watajibiwa wenye vigezo visivyopungua 80% tu. Asanteni na poleni kwa kuwachosha na maelezo marefu.
eep:
.Borro he! he! he! we kaka umetumwa? mbona una harsh language hivyo? kama we huwezi kutumia used, wapo wenzio wenye utu tena wanakuzidi kila idara ambao they realy adore used! utakuwa ni mtu very low with no manners kuweza kumtamkia mwanamke hivi, hebu kajifunze kwanza! patheticUna watoto wawili, huoni kama umeshachoka kinyama?, maana kama ni utamu watu walishanyonya wote, hebu dhibitisha hapa huyo unaemtafuta kukuoa atafaidi nini hasa kutoka kwako?. Lakini pia wewe kwa sasa ni used already, kwa masharti kibaooooo kama hayo nani wa kupoteza muda na wewe?, labda makenge tu ndo wanaoweza kuoa mwanamke aliyezaa tayari.
Mkuu tatizo liko wapi kwa yy kuelezea suala lake..hata humu mbona wanapatikana tu.
Una watoto wawili, huoni kama umeshachoka kinyama?, maana kama ni utamu watu walishanyonya wote, hebu dhibitisha hapa huyo unaemtafuta kukuoa atafaidi nini hasa kutoka kwako?. Lakini pia wewe kwa sasa ni used already, kwa masharti kibaooooo kama hayo nani wa kupoteza muda na wewe?, labda makenge tu ndo wanaoweza kuoa mwanamke aliyezaa tayari.
The bible that you are reffering to, inaruhusu kucritisize watu?? you dont know me and you are definetely not the one im looking for, ninayemtafuta atanielewa, its obvious this is not meant for you. na nakushangaa umefuata nini jukwaa hili?? if you can just excuse me!
.Borro he! he! he! we kaka umetumwa? mbona una harsh language hivyo? kama we huwezi kutumia used, wapo wenzio wenye utu tena wanakuzidi kila idara ambao they realy adore used! utakuwa ni mtu very low with no manners kuweza kumtamkia mwanamke hivi, hebu kajifunze kwanza! pathetic
Im looking for a man
1.With a heart to love truly, respect and care for the person he loves
2.The one with kid/kids and divorced/living alone atapewa kipaumbele
3.Christian
4.Dont care about the skin color, just good looking hahah, Should be confident about his look
5.not less than 33yrs not more than 40yrs
6.Should be employed or own business or both, a person with big dreams za maendeleo
7.Awe Faithful and straight asiwe muongo
8.Not less than 1.65M height not more than 1.85 (though not very important)
9.you could be drinking ocassionally or not ila usiwe Mlevi
10. Education not less than a diploma but with sharp mind
11. Anayejua kudeka na kudekeza
eep:
destiny1 unaweza angalia vizuri vigezo vyako, katika analysis aliyofanya Cool Gentleman naona mnamatch more than 90%. Age is just a number bwana, I request you to reconsider.