Cool Gentleman
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 330
- 235
usiwe na wasiwasi erotica, CG hajatimiza vigezo kashachujwa tayari
Chezea CG weweeee, FBI.
usiwe na wasiwasi erotica, CG hajatimiza vigezo kashachujwa tayari
Cool Gentleman ungeniona nilivyotabasamu!Can you imagine jamani. Yaani destiny1 anakuwa Bibi harusi, halafu MadameX Mshehereshaji, FirstLady1 Matron wa watoto; The Boss bestman, mwaJ best lady . . .
Hebu malizieni timu ya harusi . . .
Hutapata tena mwanaume kama mimi. Vitendo vyako vya uzinzi vitakutafuna mama B. Ulifikiri kujificha na majina ya bandia na kuja mtandaoni utapoteza watu maboya?? You broke our family, you will never be satisfied by Jesus' name!!
Cool Gentleman ungeniona nilivyotabasamu!
picha anayo mume wangu moyoni mwake, sihitaji kuweka picha hapa, nimemgombeza huyo borro kwa maneno aliyomtamkia huyo dada, sijui we ni mesenja wake kakutuma kumjibia? au ni walewale?? nways inaonyesha wazi how u are na siwezi argue ww, ngoja aje mwenye thread muendelee, kwangu mimi tufanye umeshinda! realy pathetic indeed!Sio wenye UTU, wenye UBUTU. Mwanaume anayekimbilia WAJANE si utu unaomuongoza bali ni UBUTU wa kukwea vitoto brand new. Kujinadi mitandaoni ni more harsh than these Borro words
Pathetic fools are those who can not afford brand new items and rush for the used ones with a lot of excuses, UTU among those
And, NUNGAYEMBEs are those who ...... without telling us how they failed in their previous relationships.
Wekeni picha zenu tuchague, hata mimi nataka kipoozeo, you know sometimes classic vehicles tends to be more classy than royal palanquins
Pokola, mmmmmhhhhhhhhhhh! speechless (in michael jacksons voice)Hutapata tena mwanaume kama mimi. Vitendo vyako vya uzinzi vitakutafuna mama B. Ulifikiri kujificha na majina ya bandia na kuja mtandaoni utapoteza watu maboya?? You broke our family, you will never be satisfied by Jesus' name!!
Sasa ni nini "kilichokutabasamisha"? Hebu taja listi ya timu ya harusi bana. Huyu destiny1 ananifanya mimi Kibabu wakati bado nalipa kabisa. Au labda nilimchuja kuleeeeee, sasa amekuja kivingine . . . . haaaa haaa
Hutapata tena mwanaume kama mimi. Vitendo vyako vya uzinzi vitakutafuna mama B. Ulifikiri kujificha na majina ya bandia na kuja mtandaoni utapoteza watu maboya?? You broke our family, you will never be satisfied by Jesus' name!!
Erotica ni mtata sana ila ningefurahi pia kama angekuwa bi harusi.Mmmh Erotica hatakubali. Anataka yeye awe bi harusi halafu sifa zake hajatoa. Can you imagine jamani. Hakawii kukuchenjia mkiwa honeymoon ukigudua kuwa ni Mkaka mwenzako . . . kwi kwiiii kwiii . . . .
Bi harusi mtarajiwe na aje hapa tuhangaike naye . . . Ila ndo hivyo hata Kitchen party haitaji . . lol
hahaha pole kaka yangu, mama b mbaya! alikufanyaje??Hutapata tena mwanaume kama mimi. Vitendo vyako vya uzinzi vitakutafuna mama B. Ulifikiri kujificha na majina ya bandia na kuja mtandaoni utapoteza watu maboya?? You broke our family, you will never be satisfied by Jesus' name!!
mm mwenyewe nimemuacha hana akili wala hajitambuipicha anayo mume wangu moyoni mwake, sihitaji kuweka picha hapa, nimemgombeza huyo borro kwa maneno aliyomtamkia huyo dada, sijui we ni mesenja wake kakutuma kumjibia? au ni walewale?? nways inaonyesha wazi how u are na siwezi argue ww, ngoja aje mwenye thread muendelee, kwangu mimi tufanye umeshinda! realy pathetic indeed!
Baba B katendwaje!!! maskinii! Pole karibu kwenye chama usimgande mama B njoo PM
Pole unaonekana mwenye hasi ra ya kutendwa, mpigie mama b umwambie mimi sio mama b. pole sana baba bWewe endelea tu kupotezea watu maboya, siwezi kuku-PM, I know u know what I mean. Wewe ni mwanamke mzinzi, always looking for new pipes. Sasa nakwambia nikirudi Tz nabeba watoto wangu, uendelee na matabia zako chafu. Uliniaibisha sana my friend. Na nitapinga mbele ya umma wewe kuolewa kihalali, u know ndoa yetu haikuvunjika kwa talaka, huh?
Coming for you just wait.
All the best mumie, just be careful na hii mitandao kupembua wakweli na walaghai!..nimependa ulivyojielezea, unajiamini ipasavyo!!..
Pokola is this serious??? au unatania??? jamani msijeingiza watu matatizoni, nyie wakaka humu ndani haya, mi nipo bench natazama tu sasa! lakini na wewe Pokola nje muda wote huo unafanyaje jamani, sasa ye huduma zingine apate wapi??? nways nisiingilie. mmhh ila jei efu inafundisha sana.Wewe endelea tu kupotezea watu maboya, siwezi kuku-PM, I know u know what I mean. Wewe ni mwanamke mzinzi, always looking for new pipes. Sasa nakwambia nikirudi Tz nabeba watoto wangu, uendelee na matabia zako chafu. Uliniaibisha sana my friend. Na nitapinga mbele ya umma wewe kuolewa kihalali, u know ndoa yetu haikuvunjika kwa talaka, huh?
Coming for you just wait.