Ardhi yetu hatujaweza kuitumia vizuri...

Hivi unaanzaje kuuza mazao nje bila support ya serikali. Kwa point yako hapo juu ningehoji kazi ya serikali kwa wakulima wa ndani, mara ngapi serikali inapiga marufuku uuzwaji wa mazao nje!?.

Ni kama unavyoagiza gari Japan. Unahitaji serikali ikutafutie mtu anayeuza gari? Hapana.

Kama kwa mfano unataka kuuza vitunguu nje unafanya utafiti mtandaoni kuhusu wananuzi wa vitunguu Comoro etc. Kisha unatafuta kibali kama kinatakiwa, unapanga usafiri wa mzigo, na unapekeka (baada ya kupokea fedha ambazo mnunuzi atakuwa ametuma kwenye akaunti yako.

Si vema kusubiri serikali kwa kila kitu.
 
Ni kama unavyoagiza gari Japan. Unahitaji serikali ikutafutie mtu anayeuza gari? Hapana.

Kama kwa mfano unataka kuuza vitunguu nje unafanya utafiti mtandaoni kuhusu wananuzi wa vitunguu Comoro etc. Kisha unatafuta kibali kama kinatakiwa, unapanga usafiri wa mzigo, na unapekeka (baada ya kupokea fedha ambazo mnunuzi atakuwa ametuma kwenye akaunti yako.

Si vema kusubiri serikali kwa kila kitu.
Haya yanawezekana kutokana na diplomasia iliyopo kati ya pande mbili, angalia jinsi wafanyabiashara wa China na USA walivyokuwa na hali tete kisa serikali zao. Hapa kwetu serikali ikipiga marufuku kuagiza magari toka japan ni nani ataweza bishana nayo!?.
 
Halafu tuache utani kwenye maonyesho ya biashara. Mtakuwa mmesikia kile kituko cha afisa aliyepeleka sample za viatu vya ngozi ya chatu kwenye maonyesho nje. Mfanyakazi wa serikali. Vikapendwa akapewa order toka Marekani ya pair mia moja. Ikawa kichekesho.

Nasisitiza: kama tunasubiri serikali itafute masoko tutasubiri sana. Kazi kuu ya serikali ni kukusanya takataka. Haya mengine ni yetu.
 
Iwisa wapo juu hata Tesco wanauza pia na unapata kila mahali mpaka Amazon
Hili la Bakhressa kuna wakati aliingiza na UK na watu waliishambulia container halikuchukua masaa liliisha
Sijawahi kusikia tena kaleta sijui huwa tunakwama wapi
Watu walivyogombania sikutegemea ndio utakuwa mwanzo na mwisho wake

Kwa biashara kwa kweli tuko nyuma sana
Umeshaonja Maganjo? Ni somber safi sana na packaging ni bomba. Wanapack kwenye plastic bag ndani alafu paper bag juu ina nembo na maelezo juu ya kilimo cha unga unaokula.

Kama kuna atakaewaza kupeleka unga wa Ugali Ulaya una pesa sana.
 
Umeshaonja Maganjo? Ni somber safi sana na packaging ni bomba. Wanapack kwenye plastic bag ndani alafu paper bag juu ina nembo na maelezo juu ya kilimo cha unga unaokula.

Kama kuna atakaewaza kupeleka unga wa Ugali Ulaya una pesa sana.
Sijawahi kuula huo kwa kweli
Ila ntautafuta.
Halafu tuna kila kitu zaidi yao na watu wengi na ardhi kubwa yenye kila kitu ila tumeshindwa packaging tu
Kweli inauma
 
Sijawahi kuula huo kwa kweli
Ila ntautafuta.
Halafu tuna kila kitu zaidi yao na watu wengi na ardhi kubwa yenye kila kitu ila tumeshindwa packaging tu
Kweli inauma
1101215
 
Na mimi nakubaliana na wewe. Labda nianze kutoa angalizo: Hawa wanaobeza ujenzi wa reli ya kisasa wamesoma thread yako?
Back to the topic: Kuna mchangiaji mmoja kasema kuna nchi wakulima wanatafuta masoko wenyewe, hivyo si jukumu la serikali kuwatafutia! Mimi nitatofautiana naye kidogo, japo sipingi kuwa yuko sahihi. Serikali nzuri ni ile inayojua weaknesses za raia wake na kuzifanyia kazi. Hili la wakulima kutokuwa na knowledge ya masoko bado serikali inaweza kusaidia. Kwa mfano mabalozi wa Tanzania walioko ughaibuni kufanya uchunguzi wa demand ya mazao mbalimbali na kuja info zitazosaidia wakulima wetu. Vinginevyo thread yako ni nzuri sana na Tanzania kama kweli tunataka maendeleo ni basi tuwekeze kwenye kilimo. Tuna ardhi na hali ya hewa nzuri sana. Na zaidi uwekezaji wa kilimo hauhitaji mtaji mkubwa na complex technology kama uwekezaji mwingine. Hata hii inayoitwa Bandari ya Bagamoyo na mazagazaga yake yote (huku tukiwa tumeweka reheni ardhi yetu) haina faida na si rahisi kama kilimo. Kuna mradi kama wa Lower Moshi irrigation (ukulima wa mpunga) uliojengwa kwa msaada wa Japan. Mwanzoni ulibadilisha familia nyingi zilizopata bahati ya kuwa kwenye ule mradi na ufukura ukawa umepunguzwa kwa kiwango kikubwa. Lakini baada ya Japan kuondoka, sisi wabongo tumeshindwa kuundeleza na umekufa kabisa.
Nakubalia na wewe moja kwa moja kwenye suala la serilkali kusaidia kusaidia kutafuta masoko nje na ndani ya nchi.......
Ila kidogo ninatofautiana na wewe kusema kuwa kilimo hakihitaji mtaji mkubwa na complex technology........
Moja ya changamoto kubwa kabisa inayowapata wakulima wanaolima mashamba makubwa (hela 80 na kuendelea) hapa tz, (siyo namna ya kuyalima/trekta,mbegu na madawa vipo angalau) ishu Ni
*PALIZI, kwa shamba lote kwa wakati(kumbuka llimelimwa kwa trekta sasa unapalilia kwa jembe mkono) humu ukishindana na mvua,muda na magugu yanayoendelea kukuwa kwa Kasi na kuasili kuwaji wa mazao husika.
*UVUNAJI, bado tunavuna kwa mkono mazao karibu yote tunayolima inchini, kwa shamba la hekari 100+ gharama za kuvuna kwa mkono zinakuwa juu Sana ukisema uwekeka watu wengi ili kuvuna kwa haraka na ndani ya muda, vinginevyo mazao mengi Sana yanaharikia shambani(kwa upepo,wadudu/ndege,jua na mvua)... Morogoro watu huwa walia mpunga kipindi Cha kuvuna mvua ndo zinapamaba Moto...
*Miundo mbinu ya kuhifadhia mazao Ni duni,hivyo mazoa mengi Sana pia hupotea hapa
********Nakuja kumalizia*********
 
Nakubalia na wewe moja kwa moja kwenye suala la serilkali kusaidia kusaidia kutafuta masoko nje na ndani ya nchi.......
Ila kidogo ninatofautiana na wewe kusema kuwa kilimo hakihitaji mtaji mkubwa na complex technology........
Moja ya changamoto kubwa kabisa inayowapata wakulima wanaolima mashamba makubwa (hela 80 na kuendelea) hapa tz, (siyo namna ya kuyalima/trekta,mbegu na madawa vipo angalau) ishu Ni
*PALIZI, kwa shamba lote kwa wakati(kumbuka llimelimwa kwa trekta sasa unapalilia kwa jembe mkono) humu ukishindana na mvua,muda na magugu yanayoendelea kukuwa kwa Kasi na kuasili kuwaji wa mazao husika.
*UVUNAJI, bado tunavuna kwa mkono mazao karibu yote tunayolima inchini, kwa shamba la hekari 100+ gharama za kuvuna kwa mkono zinakuwa juu Sana ukisema uwekeka watu wengi ili kuvuna kwa haraka na ndani ya muda, vinginevyo mazao mengi Sana yanaharikia shambani(kwa upepo,wadudu/ndege,jua na mvua)... Morogoro watu huwa walia mpunga kipindi Cha kuvuna mvua ndo zinapamaba Moto...
*Miundo mbinu ya kuhifadhia mazao Ni duni,hivyo mazoa mengi Sana pia hupotea hapa
********Nakuja kumalizia*********
Mkuu technology siku hizi imekwenda mbali, kuna majembe ya palizi yanayotumia diesel. Si makubwa ni kama kwanja na tank unalibeba mgongoni.
Unaweza kupalilia heka moja kwa siku moja.

Vitu kama hivi vingeletwa na kuuzwa kwa wakulima kupitia wizara ya kilimo vingebadilisha kabisa ulimaji wetu.
 
swadakta mkuu umenena vyema watu wanajuhudi sana ila wakati mwingine wandondoshwa na waliopo juu, awali ya yote ni masoko nikiwa ka mtu wa masoko hili ni jambo ambalo naliona na si kilamtu anaweza tafuta masoko unadhani mtu aliye mbinga anaweza/anaufahamu wa masoko ya nje? ni wakati serikali nayo iwatafutie wananchi wake masoko ya uhakika ya nje na ndani ya nchi ambayo yatawafaa wakulima. isijekuwa ka yale ya mihogo ya Lushoto (japo walikuja pata soko baadae ila sijui soko linaendeleaje) pia pembejeo si ziwe dar na miji mikubwa ambako hakuna hata mashamba. pembejeo ziwe kwa walengwa na kwa muda mwafaka, Mengine umeyasema mkuu nadhani serikali yetu nayo itoe macho pima
 
Ushauri :
1. Kutafuta soko la ndani na nje. Jinsi tutakavyoweza kusafirisha local products national wide.

2. Jinsi ya kutoa mafunzo ya kilimo bora kwa wanaotaka kuanzisha kilimo cha biashara

3. Kuleta simple farming tools, kusema ukweli kilimo cha jembe la mkono kimepitwa na wakati.

4. Tatizo lingine walimu wanaofundisha masomo ya mifugo na kilimo wanatumia akili za miaka ya 1980 kufundisha miaka hii ya 2019.

5. Lingine walimu wanaofundisha masomo ya mifugo na kilimo wao wenyewe unakuta hawalimi wala kufuga hata njiwa.

6. Tatizo lingine ni kuwa na mbadiliko wa mawazo{Mindset}¶

7. Lingine watunga sera, wengi hawana uelewa ktk Maswala ya aridhi, mifugo na kilimo. Mfano mnauona Kati ya wafugaji na wakulima kugombania aridhi na wakati aridhi ni kubwa ila haijapangiwa matumizi vizuri..

8. Kingine vijana hawaaminiwi na serikali pamoja na wazazi ktk kujihusisha na Maswala ya kiuchumi. Wahindi na waarabu kijana akifika miaka 18 upewa majukumu ya kukikwamua kiuchumi tofauti na waafrika.
mkuu umesema vyema ila kunawatu wanlima sana tena sana hasa haya mahindi ila soko lipo bei ndogo na mipaka ikifungwa bei ndo inakuwa ya kutupwa ka mtu alilima kwaajili ya biashara anasota kwa muda mpaka mipaka ifunguliwe, serikali inashauri wauze finish goods it ok ila mfanya biashara ambae kashapigika na anawaza hela tuu baada ya soko kufunguliwa atawaza hayooo? hata kama utaratibu bado haujawa mzuri kihivyo kwahiyo kunamengi ya kuangalia tupeleke bidhaa ya mwisho
 
View attachment 1104354

Umiliki wa ardhi Afrika uliingiliwa na utawala wa kikoloni. Baada ya kupata uhuru nchi nyingi zilishindwa kurudisha ardhi kwa wananchi. Kutokana na misimamo imara ya Baba wa Taifa Tanzania hatuna hali hiyo. RIP.

Tatizo kwetu kiko kwenye matumizi ya ardhi hii. Hii nguvu kazi ya vijana 50% ingetumia ardhi kuzalisha mazao tungeweza za kusambaza matunda, nafaka na mboga Afrika nzima.

Tatizo la kwanza ni masoko, wakishalima watauza wapi? Barabara zetu kwa sasa zinapitika wakati wa jua na mvua kwa 70%. Ni mipango tu ya kuweza kuweza kuzungusha mazao mtu wa Kigoma aweze kununua pears na apple kutoka Lushoto sokoni, wa Mwanza anunue samaki changu dukani, wa Mtwatra ale kabichi na nyanya kutoka Iringa.

Lingine ni elimu ya kilimo. Mafunzo ya kilimo kwa vijana hasa wale ambao haw kusomea kilimo waweze kupata mwongozo.

Let's as individuals do something about it. Any suggestions?
 
mkuu umesema vyema ila kunawatu wanlima sana tena sana hasa haya mahindi ila soko lipo bei ndogo na mipaka ikifungwa bei ndo inakuwa ya kutupwa ka mtu alilima kwaajili ya biashara anasota kwa muda mpaka mipaka ifunguliwe, serikali inashauri wauze finish goods it ok ila mfanya biashara ambae kashapigika na anawaza hela tuu baada ya soko kufunguliwa atawaza hayooo? hata kama utaratibu bado haujawa mzuri kihivyo kwahiyo kunamengi ya kuangalia tupeleke bidhaa ya mwisho
Makampuni kama GAPEX yalifanya kazi nzuri sana ya kununua mazao kwa wakulima na kuuza nje.

Hizi si enzi za ujamaa tena, tuwaze biashara ya kununua mazao na kuyasafirisha.

Mazao kama mhogo yana soko sana nchi za nje.
 
Makampuni kama GAPEX yalifanya kazi nzuri sana ya kununua mazao kwa wakulima na kuuza nje.

Hizi si enzi za ujamaa tena, tuwaze biashara ya kununua mazao na kuyasafirisha.

Mazao kama mhogo yana soko sana nchi za nje.
swadakta kabisa ila wengi hatujui mtu yupo shamba huko toka januari mpaka May leo hata akisikia soko la nje anaona giza anajua kuuza na kwenda, serikali iandae mazingira ama ifanye hiyo kazi ya kuyanunua na kuyasafirisha yenyewe
 
Hahahahahahaaa!! Yani mkulima analima kwa shida sana kisha anapata soko NCHI jilani. Anakuja mwanasiasa ana funga mipaka na soko la ndani anakuja tena kupanga bei mwanasiasa.
Mpk hapo unataka kusema kua vijana hawajitumi. Nikikumbuka magari kibao yakizuiliwa kwa tamko la mwanasiasa kuvuka boda. Na mwenye gari anataka pesa yake tu.
Tanzania Tanzania
 
Capital is not a problem if you have a bankable business plan.
Pia National Milling ilikua muhimu. Fikiria mahindi yakitwangwa na kusagwa na unga kuhifadhiwa kwa ujazo wa kilo 2, 5, 10, 20... ni rahisi kuuzika na pia kuu hifadhi kuliko mahindi kuharibika.
 
Back
Top Bottom