nahisi kuchanganyikiwa hivi hawa tcu wana matatizo yaani jana kozi za ardhi niliandikiwa nimequalify but leo na log in nakuta kozi zote za ardhi nimeandikiwa not eliageble..!! Kwa sasa nimebaki na kozi 4 sasa sijui nifanyeje ushauri tafadhali..??
tatizo hawapokei..!! Nahc kesho nitakuta nimeandikiwa not eligeabl kwa hzo kozi zilizobaki
na 2 ya kumi na moja afu nimefanya changes kurudi tena wananiambia no application done
CBG eey senator ma email is mcmaswinho880@gmail.com kuna ki2 kimenizngua ni2mie ur email niku2mie my username and password unirekebishie coz ishu imezngua
daah its unbeliavable ni jana 2 nimetoka kuchek nikakuta nimequalify but leo naingia nakuta cjaqualify i thnk hawa jamaa kila kukicha wanapunguza kozi moja badala ya nyingne
let me wait..coz kwa xaxa nimebaki na kozi nne wakinizingua nyingne ndo nitajua cha kufanya..
CBG eey senator ma email is mcmaswinho880@gmail.com kuna ki2 kimenizngua ni2mie ur email niku2mie my username and password unirekebishie coz ishu imezngua
Kuna wengine tukiona hivi inatufanya hata tuache kufuatiilia tatizo lako. Muwe serious vijana JF ni mkusanyiko wa watu wa age na calibre zote na si ajabu wengine wanahusika huko TCU kwa hiyo zingatia hayo wakati unaandika JF na utofautishe na FB.Sawa dogo?