ngara23
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 15,782
- 36,012
Arafat Haji ndo makamu wa Rais wa Young Africans
Arafat Haji ni msomi haswa akiwa mtaalam wa uchumi na Tehama
Amepata Masters yake ya IT kutoka Conventry University
Arafat ni Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Nina Zanzibar na CEO wa PBZ bank, yaani ulisema connection serikalini au eti TFF watishie serikali anakaa anawacheka tu
Arafat Haji anashinda pale Kizimkazi anakula kiyoyozi uje umtishie na hao akina Karia na Kabudi
Arafat Alitoka kauli 1 baada ya Derby kuhairishwa Kwa HATUCHEZI
Viongozi wa bodi ya ligi na TFF wanahaha kila siku vikao, Leo walikuwa na professor wa jalalani Bado Arafat Haji alivofika akakataa
TFF wamemuomba Eng Hersi lakini akawajibu huyu Mzanzibar ashakataa yaani hataki kusikia habari za kurudia derby
Eng Hersi Said amemuomba Arafat Haji alegeze msimamo ila Arafat Haji amegoma na anasema HATUCHEZI
Arafat Haji ndo Mzanzibar wa kweli akisema NO harusi nyuma
Moto unawaka na Karia alivojibu pumba, Sasa ndo akaongeza petrol kwenye kifuu
Heko! Kwako Arafat Haji, kiongozi mahiri kutoka Zanzibar
Unaifia Yanga ukweli
HATUCHEZI
Yanga bingwa
Arafat Haji ni msomi haswa akiwa mtaalam wa uchumi na Tehama
Amepata Masters yake ya IT kutoka Conventry University
Arafat ni Mkurugenzi mtendaji wa shirika la Nina Zanzibar na CEO wa PBZ bank, yaani ulisema connection serikalini au eti TFF watishie serikali anakaa anawacheka tu
Arafat Haji anashinda pale Kizimkazi anakula kiyoyozi uje umtishie na hao akina Karia na Kabudi
Arafat Alitoka kauli 1 baada ya Derby kuhairishwa Kwa HATUCHEZI
Viongozi wa bodi ya ligi na TFF wanahaha kila siku vikao, Leo walikuwa na professor wa jalalani Bado Arafat Haji alivofika akakataa
TFF wamemuomba Eng Hersi lakini akawajibu huyu Mzanzibar ashakataa yaani hataki kusikia habari za kurudia derby
Eng Hersi Said amemuomba Arafat Haji alegeze msimamo ila Arafat Haji amegoma na anasema HATUCHEZI
Arafat Haji ndo Mzanzibar wa kweli akisema NO harusi nyuma
Moto unawaka na Karia alivojibu pumba, Sasa ndo akaongeza petrol kwenye kifuu
Heko! Kwako Arafat Haji, kiongozi mahiri kutoka Zanzibar
Unaifia Yanga ukweli
HATUCHEZI
Yanga bingwa